Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Sana..umenena sawai.Mkuu hiyo ni mitazamo yako tu,watu wanaishi katika mitazamo tofauti na uhalisia tofauti sana na vile tuwazavyo.
Ujue mfuko wa elim yetu unatu subject kwenye ku gauge vitu katika mtazamo sawaa.yan unachowaza wewe unataka ndio kiwe kipimo cha wengine..tatizo kubwa