Wadada Wenye shepu na sura nzuri, ila wanaishi maisha magumu, najiuliza wana boyfriends wa aina gani?

Wadada Wenye shepu na sura nzuri, ila wanaishi maisha magumu, najiuliza wana boyfriends wa aina gani?

Kwa mitazamo hii ushoga ni ngumu sana kuisha. Watu lazima watalambwa unaweza kuta mimi ni mvulana unawaza hivi. Kesho mtu anakwambia akupapase na mjegeje kwenye makalio haingizi atakupa iphone 13 si unakubali? Maana unaamini sana katika kupewa.
Mm ni mwanaume naamini katika kuhudumia mwanamke nlie nae kwenye mahusiano mkuu Chizi Maarifa
 
Can we say Amen to this!

Uzuri unaokuwa accompanied na package zingine ndio uzuri wenye faida. Package hizo ni 1.akili,
2.Shule,
3.exposure,
4.economic wellbeing ya familia aliyetokea msichana.
5.Tabia
6. Mengineyo [emoji28]

Haya ndio mambo yatamtofautisha msichana mzuri mmoja na mwingine. Mabinti wazuri wasiwe delusional, wanatakiwa kupambana sana kusecure baadhi ya vitu ambavyo ni attainable kama lengo lao ni kukutana na wanaume wa maana, la sivyo itakuja kubaki historia tu kwamba huyu alikuwaga mzuri, alikimbiza sana mtaani.

Cha mwisho, wanaume sio mafala!

Pata wine somewhere nipe namba yako nitalipa
 
Ni nadra sana kukuta demu mzuri wa sura, shape na kiakili yuko vizuri tu halafu anaishi maisha magumu.
 
Njoo Arusha uone pisi Kali zinayembeza soksi, mitumba na ndizi.

Wanaume wa Arusha shida ipo wapi jaman?
Mkuu hii nimeikuta rock city, kuna sehemu panaitwa mecco jioni huwa kuna kisoko mjinga hapo utakutana na pisi za maana kinoma lakini ajabu zinachoma mahindi na kuna moja hiyo tayari iko kwenye rada zangu
 
Njoo Arusha uone pisi Kali zinayembeza soksi, mitumba na ndizi.

Wanaume wa Arusha shida ipo wapi jaman?
Shida sio wanaume wa arusha hao wanawake washajua vya kupewa vinamasimango ndio maana wanafanya kazi. Nishavuta pisi moja ya arusha kiutani utani mikaa kadhaa nyuma ikaniambia inauza matunda nikajua utani alipokuja bongo akakuta nina genge alichangamka sana akawa anatembeza mboga mara apotee mitaa arudi hapo hapo mpka akazoea ila wanawake wa chugga Kijua kitafuta anatafuta kweli
 
Unakuta mdada ana smartphone imeisha kioo kina cracks mpaka unaona aibu, halafu mdada ni mzuri haswa, shape na sura ipo, mpaka najiuliza ina maana boyfriend wa huyu mdada, haoni thamani ya huyu mdada?

Au sometimes nakutana na pisi ila amevaa nguo zimechoka, simu anatumia kiswasawadu kilichofungwa kwenye rubber band, ukichunguza yuko kwenye relationship, najiuliza hao ni boyfriends wa namna gani? Kumpa girlfriend wako elf 25 arekebishe kioo cha simu au anunue kiswasawadu kizuri nayo ni gharama sana??

Au labda kuna behind the scenes ambazo sizijui..
Muanzishe wewe usitegemee vya mteremko, nyie mnapenda wake za watu hawana gharama kazi yenu bebi bebi tu.
 
Wakipenda pesa mnawasakama kuwa ni gold diggers, wakiwavumilia hustlers, mnaona kama hawatambui thamani zao. By the way katika kitu ambacho sikipendi kukiona kwa mwanamke ni kuchukulia uzuri wake kama chanzo cha kuishi good life ambalo hawezi kuligharamia hata kwa thumni.

Kiufupi hakuna haja ya kumlaumu boyfriend wa mtoto mzuri ilhali yeye hana kikwazo au upungufu wa kutafuta pesa.. Atafute mwenyewe
Kwanza ninamashaka na mleta mada anaweza kua han ahata harakati ya kufanya.
 
Wamekusikia,
Watatununulia simu

Na ujengewe sanamu lako kwa kuongea ukweli
 
Unakuta mdada ana smartphone imeisha kioo kina cracks mpaka unaona aibu, halafu mdada ni mzuri haswa, shape na sura ipo, mpaka najiuliza ina maana boyfriend wa huyu mdada, haoni thamani ya huyu mdada?

Au sometimes nakutana na pisi ila amevaa nguo zimechoka, simu anatumia kiswasawadu kilichofungwa kwenye rubber band, ukichunguza yuko kwenye relationship, najiuliza hao ni boyfriends wa namna gani? Kumpa girlfriend wako elf 25 arekebishe kioo cha simu au anunue kiswasawadu kizuri nayo ni gharama sana??

Au labda kuna behind the scenes ambazo sizijui..
Kwani huyo mwanamke 'mrembo' ana mapungufu gani yanayomzuia kutafuta pesa na kununua vitu vyake mwenyewe hadi asubiri kununuliwa na BF? Yaani mwanamke akose vitu vizuri halafu lawama apewe mwanaume!! 🤔🤔
 
Njoo Arusha uone pisi Kali zinayembeza soksi, mitumba na ndizi.

Wanaume wa Arusha shida ipo wapi jaman?
Hata mimi nishawahi kukutana na dada flani huko arusha ni mzuri lakini ikifika mida jioni utamkuta yupo na mtoto wake na kideli chake anauza karanga kavu njiani ,kinacho nichanganya zaidi anakaa kwenye nyumba ya kupanga kodi 50,000.

ila alikuwa anaonekana hayupo comfortable na kuuza karanga maana alikuwa kama ananionea aibu nikipiita (tulikuwa tunakaa mtaa mmoja)
 
Kuna msemo wa wahenga wa kizungu unasema

You are a product of your environment.

Mwanamke mzuri utakayekutana nae kwenye mishe za utafutaji kama kazini. Ana tofauti kubwa na mwanamke mzuri utakayekutana nae mtaani hana mishe ya kueleweka.

Mfano hai. Kampuni za ukaguzi wa mahesabu zimejaaa sana wanawake wazuri. Mfano hai Miss Tanzania wa mwaka 2013 Happiness Watimanywa amesoma ana CPA na anafanya kazi KPMG kama Auditor

Pia bar nyingi, na mitaa ya uswahilini imejaa wanawake wazuri.

Hapo ukiweka chance ya kupata mume wa maana ama tajiri.. automatic wanawake wakaguzi wa mahesabu wana nafasi kubwa. Sababu mazingira yao na kazi zao wanakutana na wanaume wa maana tu.

Mwanamke mzuri wa uswahilini anakutana wapi na CEO ama CFO wa Vodacom ?



Sahihi kabisa. [emoji106]
 
Unakuta mdada ana smartphone imeisha kioo kina cracks mpaka unaona aibu, halafu mdada ni mzuri haswa, shape na sura ipo, mpaka najiuliza ina maana boyfriend wa huyu mdada, haoni thamani ya huyu mdada?

Au sometimes nakutana na pisi ila amevaa nguo zimechoka, simu anatumia kiswasawadu kilichofungwa kwenye rubber band, ukichunguza yuko kwenye relationship, najiuliza hao ni boyfriends wa namna gani? Kumpa girlfriend wako elf 25 arekebishe kioo cha simu au anunue kiswasawadu kizuri nayo ni gharama sana??

Au labda kuna behind the scenes ambazo sizijui..
Unakuta mdada ana smartphone imeisha kioo kina cracks mpaka unaona aibu, halafu mdada ni mzuri haswa, shape na sura ipo, mpaka najiuliza ina maana boyfriend wa huyu mdada, haoni thamani ya huyu mdada?

Au sometimes nakutana na pisi ila amevaa nguo zimechoka, simu anatumia kiswasawadu kilichofungwa kwenye rubber band, ukichunguza yuko kwenye relationship, najiuliza hao ni boyfriends wa namna gani? Kumpa girlfriend wako elf 25 arekebishe kioo cha simu au anunue kiswasawadu kizuri nayo ni gharama sana??

Au labda kuna behind the scenes ambazo sizijui..
Haisee wenzako wanaheshimu utu wao bf sio mtu wa kukunulia simu wala kitj chochote yaani sio tegemeo kwa gf. Hili kosa ndilo linafanya wasichana wasiolewe kwani wanaanza kuonesha utegemezi wao mapema na vijana KUWAKIMBIA Aakikununulia sawa ila si kwa ajili umlipe kwa uzinzi. Ni vyema zaidi ukawa unakataa hv vizawadi kama una NIA UOLEWE. NI HAYO TU.
 
Wakipenda pesa mnawasakama kuwa ni gold diggers, wakiwavumilia hustlers, mnaona kama hawatambui thamani zao. By the way katika kitu ambacho sikipendi kukiona kwa mwanamke ni kuchukulia uzuri wake kama chanzo cha kuishi good life ambalo hawezi kuligharamia hata kwa thumni.

Kiufupi hakuna haja ya kumlaumu boyfriend wa mtoto mzuri ilhali yeye hana kikwazo au upungufu wa kutafuta pesa.. Atafute mwenyewe
Dah,Thumni,,,inaonesha wewe Alhamdulillaah,,,umelamba chumvi.
 
Njia
Unakuta mdada ana smartphone imeisha kioo kina cracks mpaka unaona aibu, halafu mdada ni mzuri haswa, shape na sura ipo, mpaka najiuliza ina maana boyfriend wa huyu mdada, haoni thamani ya huyu mdada?

Au sometimes nakutana na pisi ila amevaa nguo zimechoka, simu anatumia kiswasawadu kilichofungwa kwenye rubber band, ukichunguza yuko kwenye relationship, najiuliza hao ni boyfriends wa namna gani? Kumpa girlfriend wako elf 25 arekebishe kioo cha simu au anunue kiswasawadu kizuri nayo ni gharama sana??

Au labda kuna behind the scenes ambazo sizijui..
Njia mpya ya udangaji hiyo, wanatafuta huruma ya maboya kama nyinyi wawachune haswaaa .
 
Kweli uzuri sio kila kitu kuna tabia na kujua thamani yako. Huyo mmoja ni mzuri na yupo hapa dar ila anatembea hadi na makonda wa daladala ili asidaiwe nauli ya 400 sijui mia 5. Halafu ni shoga angu. Huwa natamani hata nimchape makofi.
Mithali 11:22 Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe, Kadhalika mwanamke mzuri asiye na akili.
 
Back
Top Bottom