Sana..umenena sawai.Mkuu hiyo ni mitazamo yako tu,watu wanaishi katika mitazamo tofauti na uhalisia tofauti sana na vile tuwazavyo.
Uko sahihi mdogo angu.Ila najua hujanimanya badoo ahahahKabisa mkuu, dunia ya sasa sio ya kusema mtu flani ni mrembo bhasi atapata good life. Hata hawa wanaodanga wanatofautiana bei kutokana na hadhi zao bro. Anaefanya kazi au biashara kiasi cha kujigharamia hawezi kuhongwa elfu hamsini Ila kama ni mtoto mzuri na anakaa ghetto, hata elfu kumi atachukua.. Hiyo ndo tofauti, uzuri pekee hautoshi
si kila mwanamke/binti mzuri awe malaya wa kujiuza ili awe na vitu vizuri vinavyoonekana kwa macho.Unakuta mdada ana smartphone imeisha kioo kina cracks mpaka unaona aibu, halafu mdada ni mzuri haswa, shape na sura ipo, mpaka najiuliza ina maana boyfriend wa huyu mdada, haoni thamani ya huyu mdada?, au sometimes nakutana na pisi ila amevaa nguo zimechoka, simu anatumia kiswasawadu kilichofungwa kwenye rubber band, ukichunguza yuko kwenye relationship, najiuliza hao ni boyfriends wa namna gani? Kumpa girlfriend wako elf 25 arekebishe kioo cha simu au anunue kiswasawadu kizuri nayo ni gharama sana??
Au labda kuna behind the scenes ambazo sizijui..
Unakuta mdada ana smartphone imeisha kioo kina cracks mpaka unaona aibu, halafu mdada ni mzuri haswa, shape na sura ipo, mpaka najiuliza ina maana boyfriend wa huyu mdada, haoni thamani ya huyu mdada?, au sometimes nakutana na pisi ila amevaa nguo zimechoka, simu anatumia kiswasawadu kilichofungwa kwenye rubber band, ukichunguza yuko kwenye relationship, najiuliza hao ni boyfriends wa namna gani? Kumpa girlfriend wako elf 25 arekebishe kioo cha simu au anunue kiswasawadu kizuri nayo ni gharama sana??
Au labda kuna behind the scenes ambazo sizijui..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alafu unakuta huyu wa ten anakatikaaa mpk unawezaa kojoaa ubongo na akilii wa 50 yy anafanya kiafsaa coz anajiona wathaman sanaaa,,Kabisa mkuu, dunia ya sasa sio ya kusema mtu flani ni mrembo bhasi atapata good life. Hata hawa wanaodanga wanatofautiana bei kutokana na hadhi zao bro. Anaefanya kazi au biashara kiasi cha kujigharamia hawezi kuhongwa elfu hamsini Ila kama ni mtoto mzuri na anakaa ghetto, hata elfu kumi atachukua.. Hiyo ndo tofauti, uzuri pekee hautoshi
Daah hii Arusha mimi mwenyewe nilishangaa demu mkali Chinga halafu sasa kwenye kunegotiate yaani wakavu.Njoo Arusha uone pisi Kali zinayembeza soksi, mitumba na ndizi.
Wanaume wa Arusha shida ipo wapi jaman?
Ni kama mabinti waliojazana mwanza, shinyanga na njombe. Unakuta ni pisi kali hatari, amevaa vi clipper vimelika kisigino, nguo ina viraka. Ukimtongoza anakuambia niache nna bwana! Sasa unabaki unajiuliza huyu ana bwana au laana [emoji848]
kutongoza kuna matokeo mawili, kukubaliwa au kukataliwa. Hiyo inajulikana. Hakuna sehem niliyosema demu anafosiwa.Demu kukukatalia ni mtazamo wake binafsi. Si laana
Hujue how many guys they are hitting on her.
Una approach hataki muache simple as that
Forcing ndio unaanza kufanyiwa vituko
Bro wangu kaoa mmeru. Bonge la shemeji na smart upstairs. Sema wewe ndo una akili ndogo huwezani na jamii smart. Piga piga kifua sema nesi hyperkid ni akili ndogomabinti wa kimeru hao akuna mwanaume makini anaweza poteza muda nao
Si kila king'aacho ni dhahabu.
Upele humuota asiye na kucha/Penye miti hapana wajenzi.
Bahati ya mwenzako usiilalie mlango wazi.
UZURI WA MWANAMKE SIYO UREMBO BALI NI TABIA
ni indigenous! mchunguze vizuri utakuta anamchanganyiko kwa mbaliBro wangu kaoa mmeru. Bonge la shemeji na smart upstairs. Sema wewe ndo una akili ndogo huwezani na jamii smart. Piga piga kifua sema nesi hyperkid ni akili ndogo
Katulia na bwana ake licha ya umaskin wao bado mnaona haifai. Akija kwako afate hayo matunzo bado mtasema wanawake tupo after money. Hamna jema nyieNi kama mabinti waliojazana mwanza, shinyanga na njombe. Unakuta ni pisi kali hatari, amevaa vi clipper vimelika kisigino, nguo ina viraka. Ukimtongoza anakuambia niache nna bwana! Sasa unabaki unajiuliza huyu ana bwana au laana [emoji848]
20 nyingi sana kuna kipindi nilisha fika karatu niliona mabinti wazuri sana yani akikuona na laki ,unamwona anavyotetemeka kuja kuchunguza vizuri kumbe tabia zao mara nyingi ndio zinawaangushaHata mimi nilikuwa najiuliza kama wewe. Ila nikagundua tatizo labda ni nyota. Maana unakuta ni mdada mkaleeeee hadi mimi mwenyewe natamani ningekuwa mwanaume ila maisha yake sasa. Na sio kwamba hana wanaume….. ana msururu wa wanaume ila wote hovyo. Akipewa sana ni buku 20.