Yaani january hii watu tunawaza kwa kupata kodi kumbe wenzetu wana mserereko humu sio fair. Tupunguze uzembe aiseeNa mbona hawatuambii wengine tunakaa kizembe zembe
Mtafute mdudu mkubwa akupe codes zangu hutojuta🤣🤣Nifanye nini niwe mdudu mkubwa mkubwa eti
Wake na Sina gari mke ni yule anayejaliwa Kwa kila kitu Kama nyumba ya kisasa ,gari,na hela ya matumizi Kwa mwezi ulionona Sasa sie bado huko aisee
kwanini unaweka avator ambayo hufanani nayo?Wewe ni mwehu Huna akili unadhani unanitusi halafu ulete upuuzi wako tu chai acha bangi wewe mpuuzi mie sio Malaya uliowazoea unawatishia wanakuja haraka
Nakazia...Mkuu utashangaa hata wanaoandika wengine hapa ni wakurugenzi kwenye idara. Binadamu anaweza kuishi kutokana na mazingira, ndio maana baba anaegopewa home akija mtaani tunamtuma ice kaunta na tunacheza nae singeli. Kwahiyo hata wanaoandika huku usidhani wote wapo tuuu kisa wamechagua JF kuwa kijiwe cha kufanyia ujinga wao. Kuna member ana ID kama 3 za kufanyia upuuzi I swear ukimjua nje ya JF ukiambiwa huyu ndie anaeandikaga upupu JF utabishana milele
#LeoNimekuaSerious [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Something is not right, yaani kabisa naona maji ya kilimanjaro yamekosa ile taste ya kipindi mzee mengi akiwepo. We need an expert on distillation issues...
😀 😀 makasha nayo yapo , majobless tupo pia na watakatifu pia tumo wengiWaeleze mama.
Tunavyocheka hapa na kutania wanafikiri ni wapuuzi flani🤣🤣🤣🤣
Vipi Jack wetu hajambo?🤣
mambooHehehee
Kumekucha
Hilo ndio shimo la bewa kabisa🤣🤣🤣Siamini umejiondoa kwenye list🤣🤣🤣🤣🤣
Sitakiiii🤣leo nitapita na mtambo kukukagua
Wewe ukiwa mtakatifu mimi nitabatizwa kuwa malaika😂😂😂😀 😀 makasha nayo yapo , majobless tupo pia na watakatifu pia tumo wengi
Sawa kaka.code ya wahuni hiyoo.. usifatilie utaharibikiwa
Ulivyojibu kwa adabu kumbe Bedui tu🤣🤣🤣Sawa kaka.
Si ndio nashangaa kajiondoa!!Hilo ndio shimo la bewa kabisa🤣🤣🤣
Hela.Unataka nini sasa mdogo wangu mzuri 🙂 🙂
Labda shetani kazeekaSi ndio nashangaa kajiondoa!!
🤣🤣🤣🤣🤣Ulivyojibu kwa adabu kumbe Bedui tu🤣🤣🤣