Wadada wenzangu hii sio poa

Wadada wenzangu hii sio poa

Mkeo ni kitu miraba minne .

Halafu umeniambia Sina wezere asilimia 90 ya hao wanaoleta kwenye nyumba za kawaida maana hawajui kukaikalia vyema siye unaona tunaitwa Malaya tunajua kuikalia hadi wanadata wanachanganyikiwa
Wacha bhana 😄😄
 
Wanasema fake it untill you make it. Ila JF wamezidi kufake sana mpaka ukifikiria maisha yako unajiona ni mpweke usiye na direction kabisa kumbe mara mia na wewe. Mtu anakwambia lete CV au mawasiliano PM unatuma halafu anakauka kimya kumbe nae jobseeker kama wewe tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbeee
 
Tatizo lenu mmeruhusiwa kufungua account hizo zinaitwa washenzi account.

Sidili nao saivi ni muda wakunywa mtori mie Sina muda utabakia nakadudu kako kananuka beberu 😃😄😄😄😄
Mambo mazito haya😁😁
 
unajua kuikalia wapiii.wakati umeendekeza pesa mbele minyonyo imemwagika Kama vile unanyonyesha ndama.nakushauli toa hio avata weka picha yako ili watu wasihangaike kupoteza mda wao kwako
Kyeeee
 
Mmmh natamani niandike kitu ila nilivyo kinara wa kuwatetea wanawake kumbe sisi wenyewe ndo chanzo cha kutukanwa. Sasa wakiona hivi watatuona tuna akili zimetimia kweli?

Naona kama narudishwa maisha ya chuo hivi. Vidrama drama vya kitoto saana. Relax kadada jf tuifanye kama sehemu ya kujifunza na burudani tu. Hivi vijembe vinatushushia heshima sisi ke wote humu.
[emoji23][emoji23][emoji23] Fanya unang'ata na kupuliza.
 
Back
Top Bottom