chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,079
- 3,550
Hahahaaaa. Mtani wangu hujawahi ishiwa vituko.Hili suala la Feisal ni bora kuliko Mkude leo limenifanya nimekesha, nikimuangalia kwa umakini huyu Dogo.
Nilichogundua.. Fei Toto anahitaji kukaa na Mkude katika timu moja kwa misimu zaidi ya mitatu ili ajifunze.
Watani zangu Hajar Sibonike kyata Frank Wanjiru Vyamavingi Guasa Amboni Ulimakafu n.k tupeni Feisal tumpike, then akiiva tunawarudishia.
Hahaha... Feisal 'anajitahidi'.. Ila kufikia vile 'viwango' vya kuwa tegemeo la Taifa.. Inatakiwa asibweteke, aweke kichwa chini na ajifunze toka kwa kaka zake kina Mkude.Hahahaaaa. Mtani wangu hujawahi ishiwa vituko.
Hivi kwani kumsifia Fei Toto sh ngapi. Mmwagie sifa zake bana.
Mkude ajipange. [emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Short and clear. Safi sanaFei Toto ni mchezaji mzuri lakini hawezi Kuwa mzuri zaidi ya Mkude.
Halaf mkuu kwa umri wake huyo anakipaj cha hali ya juu.Ni kweli Mkuu.. Alafu ukizingatia ndo msimu wake wa kwanza wa ushindani.
Ombi langu kwa Amunike.. Anatakiwa amuite ite timu ya Taifa.. Ili aweze kujifunza toka kwa kina Mkude
Hahahaaa. Angalau leo Mtani tunaweza ongea lugha moja hasa kwenye hili la asibweteke. Asipobweteka huko mbele atakuwa bora zaidi.Hahaha... Feisal 'anajitahidi'.. Ila kufikia vile 'viwango' vya kuwa tegemeo la Taifa.. Inatakiwa asibweteke, aweke kichwa chini na ajifunze toka kwa kaka zake kina Mkude.
Ni kweli Mkuu atawasaidia kama;Dogo anajitahidi sana na ana kipaji lakini huwezi kumfananisha na MKude, ila mbeleni atatusaidia sana huyu dogo.
Shekhan Rashid hakuwa kiungo laini enzi zake?Kuna muda huwa naangalia mpira wa huyu dogo naogopa kusema hajui maana watu wengi wamelewa dhidi yake.
Huyo Toto hawezi kwanza mpira wa mikikimikiki pia ni kiungo mlaini sana, yaani nina uhakika hawezi kukutana na timu yenye kasi ya mpira akamudu.
Maoni yangu hayo, Feisal sioni kama anastahili kuwa na sifa kubwa anazopewa.
Hahaha.. Mkuu mbona unaongea kinyume.. Hivi una habari yule mchezaji anayewafanya mtembee vifua mbele kwa sasa Ajibu kashasaini precontract na Mnyama??