Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Huo ndio ukweli,huyo ndemla mwenyewe tulishamtia kibindoni akawa anawazuga anaenda sweden,ndio maana hata walipoenda turkey yy alichelewa kwenda,kama si yule nyika kumzingua mtu aliyetaka kumsajili Yanga yule dogo saa hizi angekua jangwaniHahahaaa. Swahiba utamfanya sembo alie ujue.