Kuna mmoja nilkutana nae TAREHE 17/ 12/2023 na mpaka Sasa ameishajifungua na mtoto amefikisha 40 tayari nadhani nitakuwa nilipigwa Kwa kawaida mtoto angekuwa Bado hajazaliwa, akaamua kuniletea mauzauza kibao eti mtoto alizaliwa njiti na kilo 2.6 , kuuliza Kwa wataalamu wakanimbia huyo mtoto kazaliwa akiwa ametimiza MIEZI 9 huyo, baada ya majibizano mengi huyo mwanamke ameamua kukaa kimya ila nilishalipia badhi ya bill , nilivyoona anazidi kutaka Hela Kila siku nkaanza kuhoji kuhusu uhalali wa mtoto , ndio kanikaushia Sasa hivi , Hawa wanawake jamani acheni kutubambikia watoto