Wadau mimba ya tarehe 17 mwezi wa 12 mtoto anazaliwa lini?

Wadau mimba ya tarehe 17 mwezi wa 12 mtoto anazaliwa lini?

Tarehe 17 mwezi wa 12 ndio siku ya kukutana na mwanaume,ila mpaka saiz hajazaa yuko timamu au ni kawaida...NB-habari ya kliniki sizijui kwahyo usiniulizee
last normal meinstral Period ni lini?? Namaanisha mara ya mwisho kuona hedhi yake ni lini?? Hapo ndo tutaanzia ku calculate EDD ILA MUDA BADOOO mpaka hapo subiri eary oct au late this month
 
Kuna mmoja nilkutana nae TAREHE 17/ 12/2023 na mpaka Sasa ameishajifungua na mtoto amefikisha 40 tayari nadhani nitakuwa nilipigwa Kwa kawaida mtoto angekuwa Bado hajazaliwa, akaamua kuniletea mauzauza kibao eti mtoto alizaliwa njiti na kilo 2.6 , kuuliza Kwa wataalamu wakanimbia huyo mtoto kazaliwa akiwa ametimiza MIEZI 9 huyo, baada ya majibizano mengi huyo mwanamke ameamua kukaa kimya ila nilishalipia badhi ya bill , nilivyoona anazidi kutaka Hela Kila siku nkaanza kuhoji kuhusu uhalali wa mtoto , ndio kanikaushia Sasa hivi , Hawa wanawake jamani acheni kutubambikia watoto
 
Ukisikia mimba zenye Baba wawili ndiyo hizo

Kila mmoja anapewa Kadi ya mtoto yenye jina lake 🙌

Msubirie Mkuu, afike kwenye tarehe 20 Mwezi huu.

Kuna wakati inaweza kuchelewa ama kuwahi Kwa wiki mbili zaidi
 
Makadirio ni tarehe 05 sept ,ila utatoa wiki mbili na kuongeza wiki mbili kwenye hiyo tarehe 5 inamaana kwenye hiyo interval anaweza kujifungua
Akifika tarehe 19 hajajifungua basi iyo mimba imepitiliza aende hospital na kama mtoto atazaliwa kipindi hiki basi atakuwa amezaliwa na wiki 42 inamaana atakuwa amekomaa,nywele ndefu,kucha ndefu.
 
Ila wanaume mna kazi sana

Hapo mleta mada hana uhakika kama mzigo ni wake 🤣

Kwanini msiwe mnatumia condom ili kuepusha stress kama hizi?
tutumie kondomu hainogi hatupati umotomoto,uteute na mfinyo wa nyama kwa nyama!. tutakomaa tu nanyi mpk shetani aseme maji mma!
 
Back
Top Bottom