navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 188
- 224
Kabla kuulizia kuzaa, hiyo mimba ipo kweli?Tarehe 17 mwezi wa 12 ndio siku ya kukutana na mwanaume,ila mpaka saiz hajazaa yuko timamu au ni kawaida...NB-habari ya kliniki sizijui kwahyo usiniulizee
last normal meinstral Period ni lini?? Namaanisha mara ya mwisho kuona hedhi yake ni lini?? Hapo ndo tutaanzia ku calculate EDD ILA MUDA BADOOO mpaka hapo subiri eary oct au late this monthTarehe 17 mwezi wa 12 ndio siku ya kukutana na mwanaume,ila mpaka saiz hajazaa yuko timamu au ni kawaida...NB-habari ya kliniki sizijui kwahyo usiniulizee
Hamna kitu paleOhoooooo aulizwe Lucas Mwashambwa
Kuanzia tarehe 9 Sep mpaka 22 Sep anatakiwa awe ameshushaTarehe 17 mwezi wa 12 ndio siku ya kukutana na mwanaume,ila mpaka saiz hajazaa yuko timamu au ni kawaida...NB-habari ya kliniki sizijui kwahyo usiniulizee
Atabubujikwa mno.Ohoooooo aulizwe Lucas Mwashambwa
Aende kliniki wakamuhesabie vizuri wao wanajua wanavohesabu kulingana na tarehe ya mwisho ya mwanamke kuingia MP
tutumie kondomu hainogi hatupati umotomoto,uteute na mfinyo wa nyama kwa nyama!. tutakomaa tu nanyi mpk shetani aseme maji mma!Ila wanaume mna kazi sana
Hapo mleta mada hana uhakika kama mzigo ni wake 🤣
Kwanini msiwe mnatumia condom ili kuepusha stress kama hizi?