Wadau mimba ya tarehe 17 mwezi wa 12 mtoto anazaliwa lini?

Hapa hakuna ataekupa jibu sahihi kwakua hakuna anaejua mkeo aliiingia Mp mara ya mwisho lini

Hizo ndani ya wiki Mbili kabla au baada zitategemea zinategemea nahio tarehe yake ya MP ya mwisho

Kwenye tarehe ya kujifungua Huwa tarehe ya mwisho kuona Mp wanajumlisha 7 kwenye miezi huwa mwezi wa mwisho kuona hio Mp wanatoa 3 kama sijakosea! Sikumbuki vizuri



Cc Smart911
 
Ila wanaume mna kazi sana

Hapo mleta mada hana uhakika kama mzigo ni wake [emoji1787]

Kwanini msiwe mnatumia condom ili kuepusha stress kama hizi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushauri wa kitalaamu kabisa
 
Ukisikia mimba zenye Baba wawili ndiyo hizo

Kila mmoja anapewa Kadi ya mtoto yenye jina lake 🙌

Msubirie Mkuu, afike kwenye tarehe 20 Mwezi huu.

Kuna wakati inaweza kuchelewa ama kuwahi Kwa wiki mbili zaidi
Mkuu inatokea tu msiwe mnahukumu nina scenario ambayo ningekua sina Mume muelewa na anaeniamini nahisi angeona nambambikia mtoto, mimba kila tukicheck Ultra sound inatupeleka mwezi mzima mbele tofauti na mahesabu yetu kitu ambacho daktari anasema haiwezekani!

Sasa ningemkuta mwanaume mwenye low mindset angekuja humu angeambiwa kabambikiwa.

Huyo kaka atulie tu asubiri mtoto wake hakuna cha kadi mbili wala nini, hizi comments jamani sio kila mtu anachuja mwingine utaona anakurupuka anaenda kukataa mtoto
 
Pole Mkuu Kwa changamoto uliyopitia, najua changamoto za hivyo huwa chache sana ya kwako ikiwepo.

Kuna ujauzito niliwahi kuulea Kwa Binti Fulani miaka Fulani, Tena nikamfungulia hadi account Benki kumuwekea chochote kitu.

Mshenzi yule kumbe mimba tulikuwa tunalea Baba wawili

Isingekuwa kutumia busara ningekuwa jela muda huu
 
Mimba haina tarehe kamili ila ni makadirio ambapo huanguka palepale kwenye makadirio,ila tarehe alizokutana naye kama anasema mimba mimba iliingia basi nakadirio yanaweza kufanyika
 
Ulizaa mimba ikiwa na wiki ngapi mamy
 
Yeah kuna case za still birth ndo maana ukienda hadi 42 weeks lazima uende hospital kwa uchunguzi zaidi.
 
Ukisikia mimba zenye Baba wawili ndiyo hizo

Kila mmoja anapewa Kadi ya mtoto yenye jina lake 🙌

Msubirie Mkuu, afike kwenye tarehe 20 Mwezi huu.

Kuna wakati inaweza kuchelewa ama kuwahi Kwa wiki mbili zaidi
Kuna binti alipata mapacha walikuwa na baba wanne, kuna wanawake ni washenzi sana
 
Kuna binti alipata mapacha walikuwa na baba wanne, kuna wanawake ni washenzi sana
Wanajua sana kutufanyia udanganyifu Kwa kushirikiana na Manesi wasio waaminifu

Unakuta unajibana kulea mimba kumbe mmepangwa akina Baba hata watatu ama zaidi kwenye mimba 1
 
Wanajua sana kutufanyia udanganyifu Kwa kushirikiana na Manesi wasio waaminifu

Unakuta unajibana kulea mimba kumbe mmepangwa akina Baba hata watatu ama zaidi kwenye mimba 1
Ipo sana hiyo ndo maana wanaume mmeshtuka mpo makini ili msipigwe lakini bado mnapigwa, halafu mengine hata nesi hahusiki sababu kama mijini vituo vya kupata huduma ya kliniki viko vingi tu anajichagulia kile kilicho karibu na huyo mbambikiwaji
 
Ni dhambi sana kumpa mtoto baba siye, wanaeake mlitafakari hili.
 
Tarehe 17 mwezi wa 12 ndio siku ya kukutana na mwanaume, ila mpaka sasa hivi hajazaa yuko timamu au ni kawaida.

NB-habari ya kliniki sizijui kwahyo usiniulizee
bada ya kutoka majibu ya Vipimo vya HIV/Aids
 
Ipo sana hiyo ndo maana wanaume mmeshtuka mpo makini ili msipigwe lakini bado mnapigwa, halafu mengine hata nesi hahusiki sababu kama mijini vituo vya kupata huduma ya kliniki viko vingi tu anajichagulia kile kilicho karibu na huyo mbambikiwaji
Ni hatari Mkuu, mtuonee huruma tu 🤗
 
Ila wanaume mna kazi sana

Hapo mleta mada hana uhakika kama mzigo ni wake 🤣

Kwanini msiwe mnatumia condom ili kuepusha stress kama hizi?
Kwani kondomu ndozi tasema kama mzigo ni wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…