Wadau mimba ya tarehe 17 mwezi wa 12 mtoto anazaliwa lini?

Eti mpaka leo kimya
Mmeenda hospital?angalia kadi wewe ujue umri wa mimba,kasome hiyo kadi vizuri.Inamaana kama mpaka leo bado inabidi awe chini ya uangalizi vipi huko kwenu.
Kwa mujibu wa maelezo yako mpaka sasa mimba yako ina wiki 41.
 
Malegend wanatoa ushuhuda πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…