Hiyo ni sawa kuanzia wiki ya 36 mtoto ni complete wala sio njitiKwa hesabu zao wiki 40 kwa hesabu zetu wiki 36
Mmeenda hospital?angalia kadi wewe ujue umri wa mimba,kasome hiyo kadi vizuri.Inamaana kama mpaka leo bado inabidi awe chini ya uangalizi vipi huko kwenu.Eti mpaka leo kimya
Umejifungua lini weweKangu ka 28 /12 tayari π₯°
HongeraKangu ka 28 /12 tayari [emoji3059]
Kesho kiaje mkuuAnazaliqa kesho kenge
Anazaliqa kesho kenge wewe!
Congrats ππKangu ka 28 /12 tayari π₯°
JuziUmejifungua lini wewe
Malegend wanatoa ushuhuda πPole Mkuu Kwa changamoto uliyopitia, najua changamoto za hivyo huwa chache sana ya kwako ikiwepo.
Kuna ujauzito niliwahi kuulea Kwa Binti Fulani miaka Fulani, Tena nikamfungulia hadi account Benki kumuwekea chochote kitu.
Mshenzi yule kumbe mimba tulikuwa tunalea Baba wawili
Isingekuwa kutumia busara ningekuwa jela muda huu
Tukio la Mwaka 47 hilo Mjukuu ππMalegend wanatoa ushuhuda π
Hili litakuwa la juzi tu hili ππTukio la Mwaka 47 hilo Mjukuu ππ
Ni tukio la muda mrefu sana, isingekuwa vipimo vya DNA ningekuwa na mtoto wa Uzeeni mwenye miaka 20 sasa πHili litakuwa la juzi tu hili ππ
Mkaenda kupima DNA?πππNi tukio la muda mrefu sana, isingekuwa vipimo vya DNA ningekuwa na mtoto wa Uzeeni mwenye miaka 20 sasa π
Koh Koh Koh ...........hii tumbaku ya leo inanipalia sana Mjukuu, sijui ni ya Songea?π€Mkaenda kupima DNA?πππ
Simulia tu babu tukucheke yaishe π€£π€£Koh Koh Koh ...........hii tumbaku ya leo inanipalia sana Mjukuu, sijui ni ya Songea?π€
Ukija kutusalimia na Bibi yako wakati wa Likizo nitakusimulia Mjukuu, ila nachoweza kusema ishukuriwe DNA πSimulia tu babu tukucheke yaishe π€£π€£