Wadau, mna maoni gani kuhusu vurugu inayofanyika Afrika Kusini?

Wadau, mna maoni gani kuhusu vurugu inayofanyika Afrika Kusini?

Duh!!! Yani kitendo chako tu hiki cha kuwaita waafrika wenzako wajinga tayari kinaonesha ubinafsi wako. Don't ever call other stupid while you don't know the details.
There is no reason for burning malls or trucks. Hakuna. Isipokuwa ujinga wao. Kama wangekuwa na akili hata kidogo wangejua kwamba kuchoma malorry na malls ni kuharibu uchumi wao na wengi wao watapoteza kazi. Madereva wengi wamepoteza kazi, watu wanaofanya kazi kwenye malls wamepoteza kazi. Investors wataanza kutoroka hio nchi maana wengi wamechomewa malls zao na malorry yao.
 
Pwagu kapata pwaguzi. Kuna mwizi wa TV hata yeye kaibiwa huko SA

 
Hii nchi inachomwa sio mchezo. Mall ingine imechomwa.
 
Alafu Hawa jamaa wanapenda kuiba Sana iko kwa damu, siku ingine ukiona wameanza chokochoko ujue Ni mlengo wa kuiba Tena,Na walikuwa wakilaumu immigrants wanawaibia Kazi Kumbe walikuwa wanatamaa za Mali zao,South Africa will be another failed republic like Venezuela 🤔
 
Alafu Hawa jamaa wanapenda kuiba Sana iko kwa damu, siku ingine ukiona wameanza chokochoko ujue Ni mlengo wa kuiba Tena,Na walikuwa wakilaumu immigrants wanawaibia Kazi Kumbe walikuwa wanatamaa za Mali zao,South Africa will be another failed republic like Venezuela 🤔



They are inherently trumatized by the then apatheid system-- they are desperates.
 
Unajua historian ya Zuma wewe!?

Hakuna unachoweza kunieleza kuhusu viongozi wa A ya Kusini. Aidha, sitarajii kama una undani wa masuala ya taifa hilo au hata habari za mapambano ya ndani kwa ndani (infighting) ya ANC yanayotishia hatma ya taifa.
 
Wa South nao wanaishi kiujanja ujanja vibaka wengi wanatumia mambo kama haya ya kuandamana ili wafanye uhalifu wa mali,haiwezekanai mtu mhalifu asihukumiwe kisa ana watu kama mzee Mpili,yani sheria ipindishwe kisa wafuasi wake wameandamana nchi yao ndo ulaya ndogo lkn watu wake ni UTOPOLO tu.
Kweli kabisa tatizo ni umaskini tu!!!!
 
Hakuna unachoweza kunieleza kuhusu viongozi wa A ya Kusini. Aidha, sitarajii kama una undani wa masuala ya taifa hilo au hata habari za mapambano ya ndani kwa ndani (infighting) ya ANC yanayotishia hatma ya taifa.
Nimekuuliza swali fupi tu, mbona maelezo mengi!? Unaijua historia ya Zuma!?
 
Alafu Hawa jamaa wanapenda kuiba Sana iko kwa damu, siku ingine ukiona wameanza chokochoko ujue Ni mlengo wa kuiba Tena,Na walikuwa wakilaumu immigrants wanawaibia Kazi Kumbe walikuwa wanatamaa za Mali zao,South Africa will be another failed republic like Venezuela 🤔
S.A life ni ngumu Sana,wakipata nafasi Kama hiyo wanaitumia kuiba
 
Back
Top Bottom