Wadau na wajasiriamali, naomba kujuzwa kuhusu Mr. Kuku Farms na uhalisia wa aina ile ya biashara

.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewaona instagram lakini nilivyoona WAMEFUNGA COMMENT.
nikajua hawa ni matapeli.
kuku hawajawahi kulipa kiasi hicho.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuku tunafuga huku miaka na miaka hao kuku wao wanauza wapi asee ha ha ha hapo watawapata wasiowahi kufugA kuku tu..

Aliye wahi kufuga kuku hawezi peleka hela yake huko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna ma Motivator wanasema "Work smart. Not Hard!" nadhani muelekeo uko huku kwa sasa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hunajua haya maswala yamenifungua akili na kuona kumbe kuna uwezekano ukabuni mradi worth a million of bucks na ukafanya fund raising kwa kigezo cha "wekeza uvune faida mara mbili"

Thats very possible...Nadhani kwa kutumia mwamvuli wa Mwanasheria tunaweza buni kitu aisee. Tukabuni mradi wenye loopholes za sisi kuchomoka hata ikibidi kwa kusingizia Bima flani au vipengele vya mkataba then unaenda launch kitu. There are alot of lazy guys with money that can easily be fetched through proper plans.
 
Dah umeshusha points mkuu sio mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…