Wadau naomba mnijuze hiki kifaa kinauzwa bei gani

Wadau naomba mnijuze hiki kifaa kinauzwa bei gani

Huu uzi kiboko muuzaji anajitahidi kujibu kila reply 😁😁😁 hata baada ya biashara kufanyika yeye anajibu tu ,anatoa ufafanuzi kwa kila hoja.Ila spana kazipata na yeye hakati tamaa yupo tu.
 
Huu uzi kiboko muuzaji anajitahidi kujibu kila reply 😁😁😁 hata baada ya biashara kufanyika yeye anajibu tu ,anatoa ufafanuzi kwa kila hoja.Ila spana kazipata na yeye hakati tamaa yupo tu.
Hakuna spana iliyo nishtua humu, zote nyepesi na mimi nimekabia kwa juu kabisa 😂😂
 
Back
Top Bottom