Wadau naomba mnijuze hiki kifaa kinauzwa bei gani

Wadau naomba mnijuze hiki kifaa kinauzwa bei gani

Mkuu elewa hicho kifaa kimekaa store miaka sita, aliye kinunua hayupo na nilishleta uzi humu kuhusu habari zake.
Kama hayupo duniani na kama mali zake ulikabidhiwa wewe sawa, kama yupo duniani ni LAZIMA umjulishe maana ni mali yake sio yako.
 
Kama hayupo duniani na kama mali zake ulikabidhiwa wewe sawa, kama yupo duniani ni LAZIMA umjulishe maana ni mali yake sio yako.
Mkuu hilo halina shaka

Kwahiyo mkuu hii mali wewe unaitaka au kuna uwezekano wa kupata mtu?
 
Back
Top Bottom