min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hapana kaka mimi ni jobless.Mkuu kwani wewe huna site nikupe mali hii kwa bei chee 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana kaka mimi ni jobless.Mkuu kwani wewe huna site nikupe mali hii kwa bei chee 😂
Nantwoma.Saaaaana....Ameshawajua wana JF na majibu yao..
Ameenda nao hivyo hivyo....
Mkuu kifaa kimenunuliwa miaka zaidi ya mitano iliyo pita, risiti sio rahisi kuwepo, kama upo tayari nipe laki nikuletee mzigo.Risiti ipo ya efd nikuletee laki na nusu?
Ndiyo . Asubuhi ni hivyo.
Basi mkuu tafuta mteja utapata mgao kama dalaliHapana kaka mimi ni jobless.
Itakua umesahau, nimeiva sasa hivi.
Basi boss....Mkuu kifaa kimenunuliwa miaka zaidi ya mitano iliyo pita, risiti sio rahisi kuwepo, kama upo tayari nipe laki nikuletee mzigo.
Nantwoma.
Kama ni asubuhi yupo sawa
Wandu wa kanyi mmeungana siyo🤣Ndiyo . Asubuhi ni hivyo.
Ni mpya kabisa mkuu na kweli nilikuwa sijui be yake, sasa najua na natafuta mto anipe hela, kama unaweza saidia mteja kupatikana itakuwa vizuri zaidi.Yani hujui kinaitwaaje, kinauzwaje, na unataka kuuza, sijaona mwizi fyongo kama wewe. Kama ni mpya tafuta mtu anaetaka kufanya wiring utapata hela nzuri zaidi.
Woyooooooo😍Kama ni asubuhi yupo sawa
Sawa boss, ila 70 umeuza kitonga sana master.Basi mkuu tafuta mteja utapata mgao kama dalali