kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
- #81
Mkuu hiyo inanitosha kabisaaaaaSawa boss, ila 70 umeuza kitonga sana master.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hiyo inanitosha kabisaaaaaSawa boss, ila 70 umeuza kitonga sana master.
Nesindiso, ..... Kibosho hiyo... Jioni ni kotaana au nesinda.... Mimi kibosho umbwe kule.Wandu wa kanyi mmeungana siyo🤣
Na mchana je? Au ni mimi nimejichanganya?
Mkuu hiyo ni Mpya kabisa angalia vizuri, bei ya mwisho nauza 70.Wahuni sio watu wanatangaza kuuza mali ya nyumbani JF daah..nilijua Fundi kataja bei kubwa mzala anataka kuing'oa aisee mkuu usiitoe hapa SA inauzwa Tsh 43,000 nikuletee hii uuze upate maji na unirudishie maji yangu au ndio utakimbia mazima maana kama ulitaka kutoa ya home si balaa hilo..
Naona master unatafuta point 3 kisela ..Wahuni sio watu wanatangaza kuuza mali ya nyumbani JF daah..nilijua Fundi kataja bei kubwa mzala anataka kuing'oa aisee mkuu usiitoe hapa SA inauzwa Tsh 43,000 nikuletee hii uuze upate maji na unirudishie maji yangu au ndio utakimbia mazima maana kama ulitaka kutoa ya home si balaa hilo..
Nimekushauri hapo juu .... Elfu 70 unauzia njaa sana. Shirikisha ubongo huo farabu wee....Mkuu hiyo ni Mpya kabisa angalia vizuri, bei ya mwisho nauza 70.
NOTE: siuzii shida, nauza kwasababu kipo kinapigwa na vumbi bila matumizi yoyote.
Dogo anaweza kung'oa kweli ohhoo..Naona master unatafuta point 3 kisela ..
Nikija kigamboni nipe lakiLeta kigamboni nikupe 50k.
Kama unayo hiyo laki mbili nipe nikuachie, kama huna nipe 70, kama na hiyo huna bas kausha.Baba yako kalipa laki mbili wewe unauzia 70?? Shwain.
Kama hukununua wewe acha kipigwe vumbi ... Kama huna shida acha njaa.Mkuu hiyo ni Mpya kabisa angalia vizuri, bei ya mwisho nauza 70.
NOTE: siuzii shida, nauza kwasababu kipo kinapigwa na vumbi bila matumizi yoyote.
Kaa nachoNikija kigamboni nipe laki
Umelewa sungura wewe.... Acha visungura maana maini yatafeli hayo.Kama unayo hiyo laki mbili nipe nikuachie, kama huna nipe 70, kama na hiyo huna bas kausha.
Kama huuzi wewe yanini kipigwe vumbi, siwezi kuacha njaa kwani hela sikuzote haitoshi.Kama hukununua wewe acha kipigwe vumbi ... Kama huna shida acha njaa.
Sikai nacho nakiuzaKaa nacho
Kama huuzi wewe yanini kipigwe vumbi, siwezi kuacha njaa kwani hela sikuzote haitosh
Hizo ndani ni miniature circuit breakers boksi lote linaitwa Electric distribution board au main switch boxhii si mita ya umeme ama nimeona vibaya
Mkuu hichi kifaa kimekaa store zaidi ya miaka sita, aliye kinunua hana mpango machoMkuu ulikinunua chanini? Kama hukununua wewe tafadhali omba idhini kwa aliye kinunua.
Okay ila mjulishe kuwa unataka kukiuza vinginevyo utakuwa umeiba.Mkuu hichi kifaa kimekaa store zaidi ya miaka sita, aliye kinunua hana mpango macho