Wadau naomba mnijuze hiki kifaa kinauzwa bei gani

Wadau naomba mnijuze hiki kifaa kinauzwa bei gani

UPDATES:

SOLD OUT......

Hatimaye mteja kupatikana biashara imekwisha.

IMG_20250206_071925_192.jpg
 
Sawa mkuu bas ngoja nitafute mtu nimuuzie hata laki maana kimekaa tu hapa hom bila kazi yoyote.
Wizi huo sasa, ndo kwanza miezi miwili toka mgraduate mshaanza udokozi 😹😹
 
Hiyo sio mita Madam

Pia Naweza kusema Jf inawatu wakurupukaji wengi design yako...
Acha wizi, km ni mali yako ulikuja kuuliza vipi humu? Kwahiyo ulinunua kitu usichokijua? Hiyo ni main switch ilikuwa typing error

Wewe ni MWIZI
 
Back
Top Bottom