Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,947
- 2,108
Uyo boya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna hii nyingine alimuimbia binti alryekua anamtaka wakati bado binti yuko masomoni, akawa anamsisitiza asome. Inaitwaje ile, jina limenitoka.
Usione nakuzinguaaaa
Me nakupenda weeee
Yale mapenz uliyonipa ndo yanafanya nakusumbuaaa.
Unaitwaje huu wimbo?
unaitwa nakupendaa
naomba nihurumieeeeeee nakupenda weeeeee
mwenezimungu kanionyesha na wewe ndo malaika wanguuuu
nishike japo mkonooooo tuwe pamojaaa
nnaupenda huuu wimbo acha
Taji la u-legendary, 'Hall of Fame' wa Bongo Flavour.
Kwanini?
1. Tumekua nae katika tasnia hii.
2. Hajawahi kukata tamaa kupigania tasnia ya Bongo Flavor.
3. Ameyahimili mabadiliko ya kisayansi na ki teknolojia bila kutetereka.
4. Anawaimbia wote, watoto, vijana, wazee.
5. Nyimbo zake ni za kudumu, kama mwazikuambuka, Nyambizi, Leah umekwenda, Skufahamu, Hi!, etc.
6. Hana kashfa wala skendo chafu mtaani.
7. Anawasaidia wasanii chipukizi bila kujali uwezo wao kifedha.
8. Ni Mwanajamii (Socially interactive). Hana majivuno na habagui watu. Focus yake ni Music.
9. Tumekuwa nae tangu mwaka 96, 97, 98 na bado anawakilisha To-date. Nakumbuka Nyambizi nilikuwa naimba nikiwa form two, sasa mtoto wangu anaimba 'Ntizame', Togola togola.
9. Hana tuzo nyingi, sijui kwanini lakini hilo pia halimkatishi tamaa.
10. Ni baba wa wake watatu na analea family zote kupitia Bongo Flavor.
Hitimisho:
Kwanini tusimvike taji hili la 'Hall of Fame', 'Bongo Flavor Legendary'?
Ujumbe huu uwafikie Kili Awards na All Media.
Nawasilisha.
Usisahau kua yeye ndie alie anzinsha issue za kuimba a. K. A kubana pua ndio wakafuata akina TID, qchif, nuruerly, mr. Paul, baazi ya wasanii wa daz nundazna wengine wengi.
Wakati huo watu walikua wana rap tu a. K. A hip hop... Ukiondoa akina nature na gangwe mob waliokua wakiimba rap katuni..
... Daah wee jamaa umeniku. Busha kitambo sana.... Huyu jamaaa katuimbisha sana skuli.
Handsome
nasifika kwa mapenzi na mademu kila kona wananiita
haaaaandsoooome!!!!
Nafananishwa na masta
wachimba chumvi wanashanga
duly mr.kiki!!
Tunakomesha wale mabishoo wanaojifanya wanaleta ushindani na ilala k/koo
nipo na nitazidi kuepo
labda maisha yawe mwisho ndipo mimi sitokuepo
noma sana..Handsome
nasifika kwa mapenzi na mademu kila kona wananiita
haaaaandsoooome!!!!
Nafananishwa na masta
wachimba chumvi wanashanga
duly mr.kiki!!
Tunakomesha wale mabishoo wanaojifanya wanaleta ushindani na ilala k/koo
nipo na nitazidi kuepo
labda maisha yawe mwisho ndipo mimi sitokuepo
Ouhh...Usisahau kua yeye ndie alie anzinsha issue za kuimba a. K. A kubana pua ndio wakafuata akina TID, qchif, nuruerly, mr. Paul, baazi ya wasanii wa daz nundazna wengine wengi.
Wakati huo watu walikua wana rap tu a. K. A hip hop... Ukiondoa akina nature na gangwe mob waliokua wakiimba rap katuni..
... Daah wee jamaa umeniku. Busha kitambo sana.... Huyu jamaaa katuimbisha sana skuli.