Wadau tumvike Dully Sykes Mataji Haya

Wadau tumvike Dully Sykes Mataji Haya

Usione nakuzinguaaaa
Me nakupenda weeee
Yale mapenz uliyonipa ndo yanafanya nakusumbuaaa.

Unaitwaje huu wimbo?
 
kuna hii nyingine alimuimbia binti alryekua anamtaka wakati bado binti yuko masomoni, akawa anamsisitiza asome. Inaitwaje ile, jina limenitoka.

Baby candy
 
Usione nakuzinguaaaa
Me nakupenda weeee
Yale mapenz uliyonipa ndo yanafanya nakusumbuaaa.

Unaitwaje huu wimbo?

unaitwa nakupendaa
naomba nihurumieeeeeee nakupenda weeeeee
mwenezimungu kanionyesha na wewe ndo malaika wanguuuu
nishike japo mkonooooo tuwe pamojaaa


nnaupenda huuu wimbo acha
 
unaitwa nakupendaa
naomba nihurumieeeeeee nakupenda weeeeee
mwenezimungu kanionyesha na wewe ndo malaika wanguuuu
nishike japo mkonooooo tuwe pamojaaa


nnaupenda huuu wimbo acha

Nice song Hili. Daah
 
Jamaa kabaki kwenye gemu kwa muda mrefu. Big up kwa uwezo wake wa kusoma soka ka mziki linahitaji nini kwa muda gani.
 
Taji la u-legendary, 'Hall of Fame' wa Bongo Flavour.

Kwanini?

1. Tumekua nae katika tasnia hii.

2. Hajawahi kukata tamaa kupigania tasnia ya Bongo Flavor.

3. Ameyahimili mabadiliko ya kisayansi na ki teknolojia bila kutetereka.

4. Anawaimbia wote, watoto, vijana, wazee.

5. Nyimbo zake ni za kudumu, kama mwazikuambuka, Nyambizi, Leah umekwenda, Skufahamu, Hi!, etc.

6. Hana kashfa wala skendo chafu mtaani.

7. Anawasaidia wasanii chipukizi bila kujali uwezo wao kifedha.

8. Ni Mwanajamii (Socially interactive). Hana majivuno na habagui watu. Focus yake ni Music.

9. Tumekuwa nae tangu mwaka 96, 97, 98 na bado anawakilisha To-date. Nakumbuka Nyambizi nilikuwa naimba nikiwa form two, sasa mtoto wangu anaimba 'Ntizame', Togola togola.

9. Hana tuzo nyingi, sijui kwanini lakini hilo pia halimkatishi tamaa.

10. Ni baba wa wake watatu na analea family zote kupitia Bongo Flavor.

Hitimisho:

Kwanini tusimvike taji hili la 'Hall of Fame', 'Bongo Flavor Legendary'?

Ujumbe huu uwafikie Kili Awards na All Media.

Nawasilisha.

Usisahau kua yeye ndie alie anzinsha issue za kuimba a. K. A kubana pua ndio wakafuata akina TID, qchif, nuruerly, mr. Paul, baazi ya wasanii wa daz nundazna wengine wengi.
Wakati huo watu walikua wana rap tu a. K. A hip hop... Ukiondoa akina nature na gangwe mob waliokua wakiimba rap katuni..
... Daah wee jamaa umeniku. Busha kitambo sana.... Huyu jamaaa katuimbisha sana skuli.
 
Usisahau kua yeye ndie alie anzinsha issue za kuimba a. K. A kubana pua ndio wakafuata akina TID, qchif, nuruerly, mr. Paul, baazi ya wasanii wa daz nundazna wengine wengi.
Wakati huo watu walikua wana rap tu a. K. A hip hop... Ukiondoa akina nature na gangwe mob waliokua wakiimba rap katuni..
... Daah wee jamaa umeniku. Busha kitambo sana.... Huyu jamaaa katuimbisha sana skuli.

he he he he..., thanx., back in dayz..
Enzi za analogy. Wimbo mpya tulikua mpaka tuje dar ndo twausikia.,, radio one.
 
Nimefurahi kuona kuna watu wanamjua na kumuheshimu huyu legendary...

Tatizo wa Tz tunakunja sana hatupendi kuona flani kapata ila tuzo za heshima zinastahili kuwepo sababu kuna watu wanastaahili kupewa.
 
Mimi napenda sana music,kuna nyimbo zikipigwa lazima ujue uwepo wangu,ngwair nae aaa
Handsome
nasifika kwa mapenzi na mademu kila kona wananiita
haaaaandsoooome!!!!
Nafananishwa na masta
wachimba chumvi wanashanga
duly mr.kiki!!
Tunakomesha wale mabishoo wanaojifanya wanaleta ushindani na ilala k/koo
nipo na nitazidi kuepo
labda maisha yawe mwisho ndipo mimi sitokuepo
 
Handsome
nasifika kwa mapenzi na mademu kila kona wananiita
haaaaandsoooome!!!!
Nafananishwa na masta
wachimba chumvi wanashanga
duly mr.kiki!!
Tunakomesha wale mabishoo wanaojifanya wanaleta ushindani na ilala k/koo
nipo na nitazidi kuepo
labda maisha yawe mwisho ndipo mimi sitokuepo
noma sana..
 
Saiz anaa ngoma yake moja inaitwa yono,kaimba kimakonde tu umo ndan anamsifia changu
 
dully ..ndiye msanii aliyenifanya haswaaaaa niupende music " .....nilikuwa nikimsikiliza tangu aliposhirikishwa na taqwa..kisha akajakutoa nyimbo ya julieta " Jamaa ana talent sana aisee...
 
nitarudi kesho kuelezea vyema mahaba yangu kwa huyu nguli "" ila naomba niwa kumbushe ...kuhusu uwepo wa kibao chake cha Tamika""
 
Nawacheki...afu nachekA ihiiiii...

Ok

Anyway...

Mimi kama OWNER..... au MMILIKI wa Uzi huu..mnAniambiaje...

Maanaa... Idea hii ilitoka huku.. Clouds Wakapiga hela..

So mmnasemaje!!!???
 
Usisahau kua yeye ndie alie anzinsha issue za kuimba a. K. A kubana pua ndio wakafuata akina TID, qchif, nuruerly, mr. Paul, baazi ya wasanii wa daz nundazna wengine wengi.
Wakati huo watu walikua wana rap tu a. K. A hip hop... Ukiondoa akina nature na gangwe mob waliokua wakiimba rap katuni..
... Daah wee jamaa umeniku. Busha kitambo sana.... Huyu jamaaa katuimbisha sana skuli.
Ouhh...

Aisee nashukuru...

Sema tu yuko kwA mwezi mgumu..wa toba..

Ningemcheki.
 
Back
Top Bottom