mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Flat screen anakuwa kama kavaa kanzu kkkkkkPia hili vazi linawafaa na kuwapendeza wanawake vibonge na wa TV za chogo, ila kwa wale wembamba na flat screen Mmmmmmh.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Flat screen anakuwa kama kavaa kanzu kkkkkkPia hili vazi linawafaa na kuwapendeza wanawake vibonge na wa TV za chogo, ila kwa wale wembamba na flat screen Mmmmmmh.....
[emoji23][emoji23]Ukivaa dela na tako lipo flat, ukisimama mtu anawejua ni shuka limeanikwa
Wewe unapendelea kuvaaje my dear?Mimi Dera lilishanishinda kabisa kuvaa na linaharibiwa haswa na wanawake wa uswahili walioshindikana kitabia
Swali la akili sana hili,naunga mkonoKwa hiyo mkuu wewe umewaona wanaosasambua tu uswahilini na madela ila wanaojiuza kwenye maklabu na madanguro na jeans zao hujawaona????
Kati ya vazi la dela na suruali kwa mwanamke ni lipi lenye heshima kwenye jamii????
Ni kweli nyie tamaduni zenu ni kuvaa suruali mazaga yote yanajichora kwa mbeleBinafsi huwa siyavai. Naona ni vazi la kitamaduni zaidi kwa watu wa pwani na wanawake wa kiislamu.
Napendelea kuvaa kawaida tu sio diraWewe unapendelea kuvaaje my dear?
kwa hyo nikikuletea zawadi ya dera utaikataa?Napendelea kuvaa kawaida tu sio dira
Hahaaa staki hata kuliona Hilo vazikwa hyo nikikuletea zawadi ya dera utaikataa?
Hahaaa staki hata kuliona Hilo vazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125]Njoo pm uniambie unapendaga lipi nikufanyie surprise
Jibu swali bwasheendo mchango wako huo?
Na mbaya zaidi anatupwa Buza kwa Mpalange....Vazi la dera ni zuri mwanamke akivaa na kitu kingine ndani,,,
Lakini akivaa dera bila kuvaa kitu lingine ndani ni mtihani mzito Mkuu,,
Tena ni shawishi mkuu,,
Zigo linacheza cheza kama paka yupo kwenye kiroba,,,anakwenda kutupwa..
Duu,,aisee!!Na mbaya zaidi anatupwa Buza kwa Mpalange....