Wadau wa JamiiForums na mionekano yao

Anabashiri tu hana lolote
 
[QUOTbeiart911, post: 20392948, member: 194588"]cc: mahondaw

Smart911 --huyu kwanza mzunguuuu
-Anajiamini sana
-Yupo makini sana na kila akifanyacho
-A man of principles huyu ana principle zake mattatta yeye hata umchokonoe hata umtukane Wee utatokwa povu yeye walaaaa anakuangalia tu as long as you don't mean to his life you can go to hell
-Mtu wa maamuzi huyu akiamua ameamua never turn back

-Ana mapenzi ya Kweliiii sio kama ya kibongo bongo
-Akipenda amependa kweli and you will always be happy and enjoy
-He's crazy in love huyu ana mambo yake fulani hivi dah utabaki hoooiii na kuomba ukachukue begi lako hom uje kuishi nae milele wakati ndokwanza intro tu
....

Will be back
cc: Smart911[/QUOTE]
Hihii uzi unafanana na wako
 
[QUOTbeiart911, post: 20392948, member: 194588"]cc: mahondaw

Smart911 huyu kwanza mzunguuuu
Anajiamini sana
Yupo makini sana na kila akifanyacho
A man of principles huyu ana principle zake mattatta yeye hata umchokonoe hata umtukane Wee utatokwa povu yeye walaaaa anakuangalia tu as long as you don't mean to his life mwee
Mtu wa maamuzi huyu akiamua ameamua never turn back

Ana mapenzi ya Kweliiii sio kama ya wabongo
Akipenda amependa kweli and you will always be happy
....

Will be back
cc: Smart911[/QUOTE]

mahondaw...

Ana roho nzuri sana, mwenye mapenzi wa kweli... hana makuu wala pupa, ni mcheshi kwa kila mtu ila yupo makini sana na mambo yake... ni mwepesi wa kuomba msamaha pale anapokosea... anajitambua... ni mzuri wa umbo, sura, tabia na mambo mengine nisingependa kuyaelezea hapa... ana mapenzi ya kweli ila ni mtukutu na napenda kudeka sana... but she is very sweet... She looks strong from the outside but she has a very sensitive, sweet, caring heart... which you must handle her with care... thats what am doing...


I love this lady called mahondaw and she know's it...


cc: mahondaw
 
Ha ha haaa au unataka kuwa kama lizaboni mwaka flani alianika id za watu humu
 
Hihii uzi unafanana na wako[/QUOTE]
Lol ule ni too much
Kule kuna Mambo ya kuchanana live dukuduku lako la moyo bila kujali zuri au baya..
Jana kilinuka kule nikakimbia mbio
 

mahondaw...

Ana roho nzuri sana, mwenye mapenzi wa kweli... hana makuu wala pupa, ni mcheshi kwa kila mtu ila yupo makini sana na mambo yake... ni mwepesi wa kuomba msamaha pale anapokosea... anajitambua... ni mzuri wa umbo, sura, tabia na mambo mengine nisingependa kuyaelezea hapa... ana mapenzi ya kweli ila ni mtukutu na napenda kudeka sana... but she is very sweet... She looks strong from the outside but she has a very sensitive, sweet, caring heart... which you must handle her with care... thats what am doing...


I love this lady called mahondaw and she know's it...


cc: mahondaw[/QUOTE]

OMG jamani thanks
I love you too my lovely super Hb Smart911

Love you so muah muaaaaah muah muaaaaah

Mengine wacha nifunge domo langu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…