Wadau wa JamiiForums na mionekano yao

Wadau wa JamiiForums na mionekano yao

Kuna mada flani Mshana Jr aliielezea kule inteligence forum kuhusu mapozi ni mipangilio ya watu jinsi walivyo kaa kwenye picha.
Alisema kuna nguvu flani ambayo ndio hua inamfosi mtu akae style gani na ajipange vipi kwenye picha.
***********/*******/*****
My Take.
Mimi naona kua kuna nguvu flani pia ndio humfosi mtu kuweka Avatar ya picha flani. Na mara nyingi ile avatar asilimia kubwa hubeba muonekano wake halisi.
Mfano. Mm nimemuweka hapa Wentworth miller kwasababu naona tunashare something common. I.e Ukimya. Upole. Etc
Etc. Etc. Etc
 
utashindana lakini hutashinda
Usiku na mchana na kesha nikisali kila jaribu nalokutana nalo nilishinde.

Mungu alisema kesheni mkisali nanyi mtayashinda. Naamini yupo na mimi kwenye hili.

Ona kaanza kupaliwa.
 
Try this at your own risk!!

Kuna watu wakiona jina langu wanafikiria labla mimi ni bonge la mwizi! Hilo ni jina tu kama majina mengine...

Humu jf nilisha kutana na member mmoja tu.... Tena nilikutana nae mazingira ya kubahatisha sana.....
14040051_321311631593238_8620229243127823778_n.jpg
 
Habari

Nimekaa nimewaza kitu wengi wetu humu hatufahamiani physical zaidi ya kukutana humu kwa njia ya maandishi ila asilimia kubwa hatujawai kukutana.Mimi ni mmojawapo tangu nijiunge humu sijawai kukutana na mtu wa humu lengo la uzi huu ni kujaribu kuangalia wadau wa humu jf kwa majina yao na kujua jinsi walivyo kwa sura na maumbo,mfano


1.faizafoxy

Huyu ni mama mtu mzima maji ya kunde ni mnene kwa umbo sura yake muda wote kakasirika hata cha kutabasamu pia hupendelea kuvaa miwani.



2.BAK

huyu kwa jinsi ninavyomuona ni tall flani iv mweusi kama baraka the prince.



3.Nifah

huyu kama bold anavyomuitaga ni cheupe flani hivi.ana kishepu cha kimtindo kama jokate iv lakini sio sana ana pua nyembaba na macho ya wastani.


4.Miss chaga

Huyu ninavyomuona ni black beuty ila kidogo hajajaliwa chura yuko na umbo la wastani pia anapenda kunyoa low cut.



5.GENTAMICYNE nahisi nimekosea kuandika.
Huyu jamaa bana ni kama mtu mzima hivi sema anaonekana nk wale wafup kiumbo kama stamina au shiza kichuya.Huyu jamaa anaonekana anapenda kuvaa kipapaa kama wale watu wa kongo.


6.Joanah

ingawa kaweka avatar kadada flani kazuri sidhani kama yuko vile huyu kila nikimuona naona amafanana na rubby



7.evelyn salt

Madam mwalimu huyu anaonekana mrembo sana kwa mtazamo wangu.Niliwai ona kaolewa na dokta asilimia kubwa ya madokta hawaoi vibofu.sema huyu eve anaonekana mweupe sana.nahis tuu



8.mshanajr

Huyu mkuu ni mfupi kibonge ingawa hana tumbo kama le mutuzi

9.Nyagi ngabu


Haka kajamaa kanaokena hakana mwili ni kembamba kinoma japo ni kasukuma.vile vidharau vyake inaonekana hata yeye mwili wake hautaki




WADAU MALIZIENI mtaje mwanachama wa humu ambaye hajuwai kutana nae na muelezee unahisi yukoje...


Asante
Wewe nahisi utakuwa upo kama Senga...!!
 
Try this at your own risk!!

Kuna watu wakiona jina langu wanafikiria labla mimi ni bonge la mwizi! Hilo ni jina tu kama majina mengine...

Humu jf nilisha kutana na member mmoja tu.... Tena nilikutana nae mazingira ya kubahatisha sana.....
14040051_321311631593238_8620229243127823778_n.jpg
Yapi na nani
 
Try this at your own risk!!

Kuna watu wakiona jina langu wanafikiria labla mimi ni bonge la mwizi! Hilo ni jina tu kama majina mengine...

Humu jf nilisha kutana na member mmoja tu.... Tena nilikutana nae mazingira ya kubahatisha sana.....
14040051_321311631593238_8620229243127823778_n.jpg
una makubwa yako ww tofauti na ulivyo
 
Back
Top Bottom