kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 3,607
- 9,430
WingA,,,,njoo nikupige cha juu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅 Hivi kwa nini huwa wanasema masikini wakutupwa kwa nini isiwe maskini wa kutunzwa sababu huna hela unatakiwa utunzwe sio utupweSina kazi Mimi ni maskini wa kutupwa
Shukrankwa kweri😃 umetisha kiongozi
Wakuu
Humu kumekuwepo na dharau za hapa na pale humu jukwaani.unakuta mtu anakushambulia,anakutukana kwamba mnalingana umri, cheo, au mali.
Unakuta mtu anadharaulika mtaani kwake lakini jukwaani anajiona mtemi,anafoka na kuwadharau wengine
Leo nataka tukate mzizi wa fitna, tujuane kwa umri na vyeo vyetu,heshima itarejea na ustaarabu utarejea jukwaani
Mimi ni mmachinga wa kuuza maji,karanga,soda na vitu vidogovidogo vya wasafiri katika stand X na mkoa X (utani)
Karibuni
Sh ngapi lita mojaMimi ninauza machozi ya simba.
Winga hauna kaz maalum, kinachokuja mbele unapambana nachowinga katika kazi gani mkuu