chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Wanakitengo cha habari na huduma kama walivyo ccmM23 haifanyi kazi na watu wanaoshinda JF. mimi nipo goma mjini hapa kamandi ya 3 ya jeshi la m23,wewe uko wapi tujuane? kumbe familia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakitengo cha habari na huduma kama walivyo ccmM23 haifanyi kazi na watu wanaoshinda JF. mimi nipo goma mjini hapa kamandi ya 3 ya jeshi la m23,wewe uko wapi tujuane? kumbe familia.
Huwezi kuta mkamaria sugu kuwa na maendeleo.Kampuni langu naamasisha watu kama wewe muingie nipate pesa ...na kwa sasa nipo mbioni kuanzisha misikiti yangu na makanisa yangu tayari mashekh na mitume nimesha pata ...ubwabwa na nyama vitakuwa bure kabisa kama wewe adriz shida uliyokuwa unapata ya kutembea na ndizi uliyoficha kwenye barakashia tume imaliza maana ndizi zitakuwa za kutosha kabisa.
Huyo kazi yake ni komandoo wa Yanga, naona unaita fujo
Mpimbwe pharmacy wauzaji na wasambazaji wa ugoro ndani na nje ya nchiWakuu
Humu kumekuwepo na dharau za hapa na pale humu jukwaani.unakuta mtu anakushambulia,anakutukana kwamba mnalingana umri, cheo, au mali.
Unakuta mtu anadharaulika mtaani kwake lakini jukwaani anajiona mtemi,anafoka na kuwadharau wengine
Leo nataka tukate mzizi wa fitna, tujuane kwa umri na vyeo vyetu,heshima itarejea na ustaarabu utarejea jukwaani
Mimi ni mmachinga wa kuuza maji,karanga,soda na vitu vidogovidogo vya wasafiri katika stand X na mkoa X (utani)
Karibuni
unacheo sema wewe CCM kindakindaki usiburia kutumwa kama Lucas mwanshamba hapa JFM23 haifanyi kazi na watu wanaoshinda JF. mimi nipo goma mjini hapa kamandi ya 3 ya jeshi la m23,wewe uko wapi tujuane? kumbe familia.
100%mtu wa maana kabisa wewe,ila vipi inasemekana mh. Rais atakuwa mgeni rasmi mchezo kati ya YANGA VS SIMBA mapema mwezi wa nne? tuambie ukiwa kama katibu mkuu, ni kweli?
Kuna akili kutawala kamari na kuna akili kutawaliwa na kamariHuwezi kuta mkamaria sugu kuwa na maendeleo.
Umeikosea kdg tyuuh, ifanane na cheo cha uncle wangu.Waziri wa shida na mipango ya ghafla
Mimi ni baba wa watoto 10kwa mama zao 10!na Bado 7wanamimba!Wakuu
Humu kumekuwepo na dharau za hapa na pale humu jukwaani.unakuta mtu anakushambulia,anakutukana kwamba mnalingana umri, cheo, au mali.
Unakuta mtu anadharaulika mtaani kwake lakini jukwaani anajiona mtemi,anafoka na kuwadharau wengine
Leo nataka tukate mzizi wa fitna, tujuane kwa umri na vyeo vyetu,heshima itarejea na ustaarabu utarejea jukwaani
Mimi ni mmachinga wa kuuza maji,karanga,soda na vitu vidogovidogo vya wasafiri katika stand X na mkoa X (utani)
Karibuni