Wadau wa JF tujuane kwa kazi zetu, na dharau zitapungua

Wadau wa JF tujuane kwa kazi zetu, na dharau zitapungua

Mimi ndiyo mmiliki wa serikali na nchi yote ya Tanzania. Hivyo heshima nipewe maana kumekuwa na dharau sana kwenye hili koloni langu la tanganyika ...naitwa KUHESHIMIWA BWANA MKUBWA KOMREDI ROSTAM AZIZI
 
img_1_1741611110854.jpg
 
Mimi ndiyo mmiliki wa serikali na nchi yote ya Tanzania. Hivyo heshima nipewe maana kumekuwa na dharau sana kwenye hili koloni langu la tanganyika ...naitwa KUHESHIMIWA BWANA MKUBWA KOMREDI ROSTAM AZIZI
Kazi yako kubwa betting
 
Nafanya kazi M23 goma tunapokea order za kuchinja watu kila aina.
M23 haifanyi kazi na watu wanaoshinda JF. mimi nipo goma mjini hapa kamandi ya 3 ya jeshi la m23,wewe uko wapi tujuane? kumbe familia.
 
Kazi yako kubwa betting
Kampuni langu na amasisha watu kama wewe muingie nipate pesa ...na kwa sasa nipo mbioni kuanzisha misikiti yangu na makanisa yangu tayari mashekh na mitume nimesha pata ...ubwabwa na nyama vitakuwa bure kabisa kama wewe adriz shida uliyokuwa unapata ya kutembea na ndizi uliyoficha kwenye barakashia tume imaliza maana ndizi zitakuwa za kutosha kabisa.
 
Back
Top Bottom