Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu?Kwenye vitu vya kupanga,hahahMungu alivyo mkubwa wanakutana na the monster among men huko wrestlemania![emoji23][emoji23][emoji23]
This man is machine.... So Huyo Roman reigns.... Mweupe tuPaul heyman anamuita buroooooooki lezna
Yaan alinikera kweli bora kenny alivyombonda tu hataki ujinga..halafu me cena ciku hizi walaKwann John Cena anang'ang'ana na undertaker??? Kwan anatafuta nn??? Kwan hakuna mwingine wa kupigana nae Mpaka undertaker!!! Anaboa na Yeye sasa, Mtu kama hutaki kupigana Achana nae tafuta mwingine.
Naona kashazeekaYaan alinikera kweli bora kenny alivyombonda tu hataki ujinga..halafu me cena ciku hizi wala
Kwa iyo upange afu ubondwe vile na pingu mkononi?!Mungu?Kwenye vitu vya kupanga,hahah
Kwa saa za huku Tanzania itaanza saa nane usiku tarehe 9 ila kitu kizuri ni kwamba itarudiwa siku hiyohiyo ya jumatatu saa mbili usiku supersport 9Iv westremania itakua muda gan
Si hatumii akili... Hana akiliRoman reign hajatumia akili kabisa,mpaka sasa hivi sidhani kama hapo alipo anaweza kuamka kitandani kwa kipigo kile cha pingu na cha juzi!!...yeye alitakiwa atulie ili akusanya nguvu za tarehe 8!!....Sasa hivi hana nguvu tena!!
HahahhaNimecheka Sana leo...... Sasa yule dada kaja na majigambo yote yale.... Mi Nikajua leo ASUKA kapata kigongo.... Heeh mara teke moja tu Tayari chali..... Daah huyu ASUKA sijui apigane na nani.
Asuka atakuwa kibonde soon!...believe me mkuu!!Huyu Ronda rouse mbona ananipa wasiwasi.... Kama absolution wamechezea kichapo vile... Alaf anavunja mikono paka mtu analia kama mtoto... Hivi akikutana na ASUKA si ASUKA atapigwa Sasa kama mambo yenyewe ndo vile