NaughtyGuy
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,747
- 1,939
Roma ndio face ya WWE na ndio Vince ameamua iwe hivyo. Sema hataki ionekane kama anampendelea so ndio maana now anashushwa chini ili watu wamchukie. Hatachukua Ubingwa karibuni maana hata Money in the bank hatagombania briefcase atakuwa anapigana na jinger mahal...hata summer slam nadhani itakuwa lesnar na bobby lashley..
Min the bank BIG MAMA WANGU atapigana na RONDAY LAWSEY sijui why wameliwahisha hili pambano nisingependa BIG mama linyang'anywe mkanda wake
Min the bank BIG MAMA WANGU atapigana na RONDAY LAWSEY sijui why wameliwahisha hili pambano nisingependa BIG mama linyang'anywe mkanda wake