WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Kweli ni uharibifu wa hali ya juu.Uharibifu umezidi kila awamu wanajiamulia tu kuibomoa elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli ni uharibifu wa hali ya juu.Uharibifu umezidi kila awamu wanajiamulia tu kuibomoa elimu
Hao walimu watatokea wapi??Ni muda Sasa serikali kukubali mpango wa kuifanya lugha ya kiingereza kuwa lugha rasmi ya kufundishia kuanzia shule ya msingi.
Lots and lots of advantage!,What is the Advantage of this education system compared over the current one we have.
Japo wote ni waandishi wa habari, mimi ni broadcast journalist ambaye sasa naandika, yeye ni print journalist ambaye sasa anajaribu kutangaza. Huyu ni mmoja wa waandishi vichwa kwenye tasnia ila ana tatizo moja tuu, ana impaired vision ya light kwa kuona one sided only, jicho lake linaona only the dark side, lakini halioni the bright side, hivyo anaona mabaya tuu!, haoni jema lolote. Mimi nina ona both sides, the bright side and the dark.By the way:
Pascal Leo tuongee kirafiki maana huwa nakubomu Sana.
1. Unaonaje video clips za Ansbert Ngurumo, zinaonesha weledi wa uhandishi wa habari of the highest caliber ever au Ni sawa na makala zako?
Nampaga credits sana na kuna group la wahariri niko nae, alitimuliwa mimi ndio nikamuombea msamaha akarudishwa.2. Unampa credit gani kwa maswali yake magumu? (Maswali magumu)
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Omary Kipanga, amesema kuwa katika sera mpya inayotarajiwa kuzinduliwa hapo baadaye elimu ya msingi itakomea darasa la 6.
Kauli hiyo ameisema hii leo Oktoba 20, 2022, na kuongeza kwamba sera mpya ya elimu itakapozinduliwa hakutakuwa na mtihani wa mwisho wa elimu ya msingi na kwamba mtihani utakuwa ni wa kidato cha nne tu, huku akisema mwanafunzi akianza kidato cha kwanza atakuwa tayari ameshajiweka kwenye mchepuo maalum hadi kidato cha nne.
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga amesema kuwa serikali inatazamia kuzindua sera mpya ya elimu kufikia mwezi Desemba, 2022 ili kuleta mabadiliko makubwa kwenye sekta ya elimu na kwamba mabadiliko yataanzia elimu ya msingi.
Ni muda Sasa serikali kukubali mpango wa kuifanya lugha ya kiingereza kuwa lugha rasmi ya ku
Kwa nini isiwe lugha ya kiswahili?Waalimu utawapata wapi?
Watu wangu wanaangamia kwa kukos maarifa,mtoto wa darasa la sita atachagua nini,mnataka kuiua nchi ili wenye nacho waendelee kutamba.Hii mimi nadhani hatua nzuri na tumechelewa sana kwa kweli, Baada ya darasa la 6 mwanafunzi anachagua nini cha kusoma hiyo inakuwa ni direction ya chagua anataka kuwa nini mbele ya safari. Hii mitihani ya darasa la saba kuna watoto wanaachwa sio kwamba hawana uwezo kuna watu ni ile pressure na hofu wengine toka family au ndugu lakini wakiwa wame relax anaweza kuchagua anataka kuwa nani sasa huko mbele ya safari ni juhudi zake anaweza au ataishia njiani lakini hakosi elimu kutakuwa na ile kuzidiana tu watajichuja wenyewe mbele ya safari. Kama wa Tanzania tuunge mkono mabadiliko kwa maana hii system haijatupa matokeo chanya ni wakatu wa kubadilika na hata ikibidi mbele ya safari kubadilika kuboresha mapungufu ni sawa tu, hatuwezi kuwa mfumo kwa miaka 50 dunia inabadilika tech imetawala sisi bado tuko darasa la saba tunasoma vita vya maji maji story za kuunga tu.
Tatizo hakuna walimu wa shule za serikali wanaojua kiingereza fasaha mkuu.Hili swala ni muhimu sana. Fulsa nyingi sana vijana wanapishana nazo kwa sababu ya kutozungumza Lugha ya Kiingereza.
Serikali ikifanikiwa kwenye hili, miaka kumi ijayo vijana wengi watakua wamejiajir kwenye sekta rasmi na zisizo rasmi nyingi.
Form 4 ndo itakuwa elimu ya msingi kwa kila Mtanzania. Kwa maana yeyote anayefika darasa la 6 ana fursa ya kwenda form one ili akakutane na mtihani wa form four.Naomba Kujua,Sijaelewa,
Mtoto akishafika Darasa La 6 anakwendaje Form-1?
Sababu Nimesoma Kuwa Hakutakiwa na Mitihani Shule ya Msingi,Kutakuwa tuu na Mtihani wa form 4!
Sasa Mtoto akimaliza Darasa la 6 Watajiunga Vipi na Sekondary,Na Sekondary Maalum Pia?
Then Atafanya Mtihani form 4 na Kwenda Form 5!
Tunapoteza badala ya kuboresha yote ni matokeo ya chaguzi za 2019 na 2020,hapo ndiyo matatizo yote haya yalianzia na sijui yatamalizika lini,inasikitisha kwa kweli.Hii hatua sijui itasaidia vipi kukuza elimu yetu ikiwa hata hao wanaomaliza darasa la saba huwa hawajui kusoma na kuandika, hapa naona ni kama vile kuwahisha wajinga kumaliza shule.
Kwahiyo wewe kupoteza muda mwingi darasani ndo unaona la maana?Binafsi sitarajii jema katika utaratibu huu mpya. Laiti watoto wa hao wakubwa nao wangesoma katika utaratibu huo, ningejua wana nia njema!
Wazo zuri sana hili na naliunga mkono na mguu
Swali langu ni Je,Hao walimu wa kuendana na haya mabadiliko wameshaandaliwMimo
Utafiti unaonyesha asilimia 90 ya walimu wa sekonari hawajui kiingereza vizuri hapa nchini, hivyo Basi, mm naona kiswahili ndio iwe lugha ya kujigunzia na kiingereza mtu ajifunze Kama somo na lugha.Tatizo hakuna walimu wa shule za serikali wanaojua kiingereza fasaha mkuu.
Amini hili maana tunawajua vizuri. Somo la kiingereza ukimfuatilia mwanao mfano mwalimu anavyosahihisha kazi ni kituko.
Boss uko kinadharia zaidi yaaani maono ambayo asilimia 80% ni ndoto,Kigwendu aliwahi kusema," Mipango si matumizi". Hii nadharia yetu ni hatari sana,sijabahatika kuzunguka duniani ila mifano michache ya elimu kwa majirani zetu Kenya na Zambia,siungi mkono hiyo hoja.Lots and lots of advantage!,
- Kwanza Tanzania tunaingia kwenye mapinduzi ya Elimu, hakuna tena daasa 7, bacic education inakuwa ni elimu ya form 4!.
- Watoto wanaanza shule wadogo na kufundishwa kujitambua mapema, samaki mkunje angali mbichi. Darasa la kwanza ni akiwa miaka 6 na kumaliza primary at 12!.
- Hakuna mimba za utotoni kwa primary school, hivyo sasa watapevukia sekondari na somo la sex education ndio somo la kwanza sekondari.
- Mtoto akiwa primary anapimwa amplitude tests za kuangalia brain ppwer yake kipaji chake anaweza nini na sio tuu anapenda nini, anapendeshwa kile anachoweza na hii itapunguza sana watu kutaga!.
- Specialization inaanzia form I. Hivyo wanafunzi tangu anasoma sekondari anajua anakwenda kuwa nani, sio mtu anauwezo na sheria, halafu kwenye HDD yake umzamishie Abbot na Nelkon na kujaza bure savers zake na kumpotea muda
Japo wote ni waandishi wa habari, mimi ni broadcast journalist ambaye sasa naandika, yeye ni print journalist ambaye sasa anajaribu kutangaza. Huyu ni mmoja wa waandishi vichwa kwenye tasnia ila ana tatizo moja tuu, ana impaired vision ya light kwa kuona one sided only, jicho lake linaona only the dark side, lakini halioni the bright side, hivyo anaona mabaya tuu!, haoni jema lolote. Mimi nina ona both sides, the bright side and the dark.
Nampaga credits sana na kuna group la wahariri niko nae, alitimuliwa mimi ndio nikamuombea msamaha akarudishwa.
Hata humu jf, namfagilia sana tuu Ansbert Ngurumo awamwagia Pongezi za ushindi kwa Makamanda wa CHADEMA!
Angalia hii Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
P
Tatizo ni kwamba mawaziri wana nguvu kubwa kwenye maamuzi ya elimu. Wakati huo huo mawaziri wa elimu siyo watu bora kielimu. Ni watu misheni-misheni tu! Hata Kilango Malechela na Muhagama walishaishika elimu kwa uduni wao. Tunakwisha kabisa!!! Mungai na yake, Kawambwa na yake, ............. Leo ni Mkenda na upuuzi huu!Uharibifu umezidi kila awamu wanajiamulia tu kuibomoa elimu