Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Kuna haja gani ya kupeleka chako binafsi na kukikalia angali kuna vingine vingi tu??Kwani kupeleka kiti kanisani ni kudharau madhabahu?
Jambo hili linanishangaza sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna haja gani ya kupeleka chako binafsi na kukikalia angali kuna vingine vingi tu??Kwani kupeleka kiti kanisani ni kudharau madhabahu?
Jambo hili linanishangaza sana!
Nyerere & Ben Mkapa walikuwa wakatoliki wazuri sana...![]()
Waumini wote kanisani tunakalia mabenchi ya mbao
Hata wafalme na malkia wa himaya zilizotawala dunia wanajinyenyekeza mbele za Mungu
Japo wanaweza kutandaza makochi ya ngozi na sufi kanisa zima lakini wanajishusha mbele ya madhabahu ya Mungu kwa sababu wanajua Yesu Kristo alizaliwa kwenye josho la kulishia ng'ombe akiwa ni mtoto wa muweza wa yote.
Angalizo limetufumbua macho.Kwenye Ibada Maalum ya kumbukumbu ya miaka 23 ya kifo cha Mwalimu Nyerere , iliyofanyika huko Mkoani Kagera , Viongozi kadhaa wa Kitaifa wamehudhuria, akiwemo Mh Rais Samia Suluhu na Makamu wake , Dr Philipo Mpango , Tunawapongeza kwa jambo hilo .
Sitaki kurudia yaliyotokea ili nisiwachoshe , lakini Kitendo cha Rais na Makamu wake kuingia na Viti vyao vya enzi ndani ya kanisa kimepingwa na wadau wengi , huku wakitahadharisha viongozi kuacha kujiona ni wa kipekee , Ukweli ni kwamba HAWANA UPEKEE WOWOTE , ukiachilia mbali vyeo walivyo navyo hawana tofauti yoyote nyingine na sisi wengine .
Kitendo cha kuingia na Masofa yao Kanisani ni DHARAU KWA WAUMINI na Kanisa kwa ujumla , na kinapaswa kukemewa ili kisirudiwe tena , kama hawataki kukaa kwenye mabenchi ya kanisa , basi wasiingie kwenye Makanisa , waishie nje na hotuba zao .
Ziko Picha kadhaa zikiwaonyesha Joe Biden wa Marekani na Haikainde Hichilema wa Zambia wakiwa wameheshimu madhabau na kukalia Mabenchi ya kanisa , mbona walishiriki ibada na wakamaliza kwa amani tu , Hawa viongozi wetu wana upekee gani hawa ?
View attachment 2387287
Angalizo : Sina chuki yoyote na viongozi hawa .
Hata microphone alikuwa hatumii ya pata sote.Mada nyepesi sana. JPM alikalia kiti cha kwake alicholetewa na wasaidizi wake siku ile alipokwenda chuo kikuu na kuongea na wasomi hakuna aliyekuja na uzi kabisa.
ili wawe karibu na Mungu !Hata microphone alikuwa hatumii ya pata sote.
Na mwanafunzi wake Mwinyi Junior akiingia msikitini anaingia na zulia lake anatandikiwa juu ya lililopo. Na Safu ya mwanzo yote anaekewa yeye na wasaidizi wake.
Ni Rais wa TZ sio kiongozi wa kundi fulani la whatsapp.ili wawe karibu na Mungu !