Wadau wapinga Rais Samia na Makamu wake kuingia na Viti binafsi Kanisani, yadaiwa ni kujikweza

Nyerere & Ben Mkapa walikuwa wakatoliki wazuri sana...

Sina hakika kama kuna siku walikwenda kuabudu kanisani huku wakiwa wamebeba na makochi yao ya kifalme ili wakalie ndani ya kanisa wakati huohuo kanisa likiwa na viti vya kutosha kwa kila mtu...!!
 
Kwa hiyo wanajiona wako juu ya Kuhani Mkuu, hadi mpango naye hajui taratibu za kanisa.......hajui kwamba anayekalia kiti maalumu na kuvaa mavazi maalumu hekaluni ni Kuhani Mkuu, wanafuatia makuhani na watumishi wengine wa hekalu na baadaye waumini.
 
Angalizo limetufumbua macho.
 
Mada nyepesi sana. JPM alikalia kiti cha kwake alicholetewa na wasaidizi wake siku ile alipokwenda chuo kikuu na kuongea na wasomi hakuna aliyekuja na uzi kabisa.
Hata microphone alikuwa hatumii ya pata sote.

Na mwanafunzi wake Mwinyi Junior akiingia msikitini anaingia na zulia lake anatandikiwa juu ya lililopo. Na Safu ya mwanzo yote anaekewa yeye na wasaidizi wake.
 
Hata microphone alikuwa hatumii ya pata sote.

Na mwanafunzi wake Mwinyi Junior akiingia msikitini anaingia na zulia lake anatandikiwa juu ya lililopo. Na Safu ya mwanzo yote anaekewa yeye na wasaidizi wake.
ili wawe karibu na Mungu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…