Pre GE2025 Wadau washangazwa na Kitendo cha Mkutano Mkuu wa CCM kupuuzwa, huku wa Chadema ukiwa Gumzo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kibaraka ni wewe ambaye akili zako umezikabidhi kwa watu.
relax gentleman,
hutuba ya kibaraka wa mabenyenye ya magharibi mbele ya wanaombackup iliwafanya hata mambwenyenye yanayombackup yamdharaua,

huenda wakamdump kabisa atakaposhindwa uchaguzi huo muhimu sana wa chadema ngazi ya taifa.

ni vizuri mkalijua hilo my friends, ladies and gentlemen in politics πŸ’
 
CDM hiyeeeeeee!
 
CCM wamefanya kosa kubwa kuitisha mkutano mkuu wakati ambapo CDM wana kinyang’anyiro cha kihistoria cha uchaguzi mkuu.

Watu hawajui kinachoendelea CCM muda huu wengi wamejikita wakifuatilia uchaguzi mkuu CDM.

Ni nini maana ya yote haya? Inaonekana CDM ndio chama kikuu cha siasa kwani watu wengi wanafuatilia kwa karibu sana yanayoendelea CDM na kusahau kabisa mambo ya CCM.
 
LA kuvunda halina ubani πŸ˜‚
 
Chadema mna uchaguzi

CCM hawana uchaguzi wanapanga Safu ya Ushindi wa kishindo TU Kwenye uchaguzi mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sababu za kupuuzwa mkutano mkuu wa CCM ni kwasababu hakuna jipya huko na kama Lissu akigombania nafasi ya uraisi wa jamhuri mwaka huu Mama anarudi kizimkazi.
 
Inapozungumzia mabwenyenye ,ukumbuke ndio walewale ambao serikali ya chama chenu inaenda KUHEMEA asilimia 40% ya kujazia bajeti ya kila mwaka!πŸ˜…πŸ˜…
Inaonekana wewe ni LIPUMBAVU lenye wivu, mtu kuhusiana kuwa na affiliation na unaowaita MABWENYENYE SIO SAWA, ila nyie Kwenda kuombaomba hela ya kujazia bajeti ni sawa eheee!!πŸ€”πŸ€”πŸ€”
Kweli UJINGA NI MZIGO ZAIDI YA ZIGO LA VIMA=M.V.IIIIIIIπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸš΄πŸš΄πŸ˜…
 
Wamekosea kwenye Timing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…