Wadau waulizia alipo Mwana CCM Thadei Ole Mushi

Noma sana ! Tumeonya wengi humu lakini hawatuelewi , Shetani hana rafiki
Kama ni kweli na mwathirika au watu waliyo karibu naye hawachukui hatua au kutoa tamko na wanaogopa mimi sioni umuhimu wa watu wengine kuingilia. Watanzania tumekuwa waoga kupitiliza na mtu hata ndugu yake akiuawa utasikia analalamika chini chini huku anasema ''msiseme lakini ni mimi nimelalamika''.
 
Kwahiyo unamanisha ccm wamempa sumu na wakamwita mkewe wakae wote sehemu ya Siri wauguzane

Thadeo na mkewe watoke waende muhimbili au penginepo
 
Kuna na yule mwingine alikua kayafa's chawa pro max anajiita Veronica France vip yupo na moto wake uleule kule jamuhuri ya Facebook?
 
Menbe alisema hatotekwa Wala kubufhudhuwa yeyote katika utawala huu wa Sa100.
 
ok sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…