Wadau waulizia alipo Mwana CCM Thadei Ole Mushi

Mkuu Mshana naomba hiyo post ya mwisho ya ndugu yetu Ole Mushi ya tarehe 19 September 2023.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
'' Ufafanuzi wa mimi kulishwa Sumu'

Naomba kuwapa taarifa kuwa jambo hili ni Uzushi usiokuwa na Maana lililoibuliwa na watu kwa nia wanazozijua wao wenyewe. Mimi nipo salama kabisa japokuwa nilikuwa nimepumzika kidogo kuandika kwenye Social Media.
Lakini Mwenyekiti wetu mstaafu alishaweka wazi kwamba hatuaminiani kabisa kiasi cha kutoachiana maji mezani
 
Mara ya mwisho alionekana kwenye ziara ya chongolo ….
 
Mwl.Ole Mushi-Afisa elimu hai na kada wa CCM ,Ni kweli alilishwa sumu

Alilazwa kcmc hospital ,na Sasa kahamishiwa dar,!

#CCM HOYEEEEEEEEEEEE
kama ni sumu basi itakua ni sumu ya panya, utitiri, viroboto, mende, kunguni....
 
Mwl.Ole Mushi-Afisa elimu hai na kada wa CCM ,Ni kweli alilishwa sumu

Alilazwa kcmc hospital ,na Sasa kahamishiwa dar,!

#CCM HOYEEEEEEEEEEEE
Waliosaidia taarifa zake kupatikana ni akina Bony Yai, Meya Mstaafu (CHADEMA). CCM walificha taarifa zake na Kwa tuhuma zilizopo ni kwamba "wanahusika"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…