Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 9,758
- 18,431
Sina mifano mzee wangu.kwa mfano tuyatumieje/
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina mifano mzee wangu.kwa mfano tuyatumieje/
Jamaa kafariki? How?Wahuni sio watu wazuri . RIP Thadei
Alilishwa sumu na Gilbert MasaweJamaa kafariki? How?
Duh 🙄 !Alilishwa sumu na Gilbert Masawe
Duh 🙄 !Wahuni sio watu wazuri . RIP Thadei
Aiseeee !!Wahuni sio watu wazuri . RIP Thadei
Duuuh !!Alilishwa sumu na Gilbert Masawe
Aiseehh...Karibu kila mahali na mitandaoni kote wadau mbali mbali wanaulizia aliko Mchambuzi Mahiri na Mtetezi kabambe wa siasa za CCM, Bwana Thadei Ole Mushi.
Kwani ni kipi kimemtokea huyu Jamaa?
View attachment 2781579
Noma sana !Aiseehh...
Punguza upuuzi JoAtakuwa Kanda ya Nyasa kwenye +255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari zetu
AmenPumzika kwa amani Thadei Ole Mushi, mwanzo zilizuka taarifa kwamba umetekwa ukaonekana, baadae ikatoka taarifa kwamba umaumwa ugonjwa wa moyo, leo imetoka taarifa umefariki Dunia, R.I.P Mungu anajua ukweli wa kuondoka kwako duniani.View attachment 2893994
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787]Alijianika mno
Walivyo CCM muda huu atakuwa wanahesabu kunyanzi za mfuko wake wa gololi huko kusikojulikana.
Ni jinai mwanaCCM kuikosoa CCM hadharani, ataambiwa atumie vikao halali. Ukiuliza vikao vipi hivyo kwa asiye kiongozi? Ataishia kupimwa mkojo[emoji1787]
DaaaahAlijianika mno
Walivyo CCM muda huu atakuwa wanahesabu kunyanzi za mfuko wake wa gololi huko kusikojulikana.
Ni jinai mwanaCCM kuikosoa CCM hadharani, ataambiwa atumie vikao halali. Ukiuliza vikao vipi hivyo kwa asiye kiongozi? Ataishia kupimwa mkojo🤣
Kwenye hizi bilioni 2.7 na wewe umeambulia japo laki au unakazana tu kupiga domo wenzako wanaporomosha mabanguluu huko machame.Daaaah
Hela za ruzuku ni za chama , si za watu binafsi , fuatilia ripot ya CAGKwenye hizi bilioni 2.7 na wewe umeambulia japo laki au unakazana tu kupiga domo wenzako wanaporomosha mabanguluu huko machame.
Mkuu mkuu dah!!!!!!!!!! hii JF ina watu hatari mno hizi i'dOle Mushi hatunaye