Wadau wenye uzoefu na maduka na hizi stores za kawaida hivi hawaitaji mtu anaeweza kua anafanya stock taking

Wadau wenye uzoefu na maduka na hizi stores za kawaida hivi hawaitaji mtu anaeweza kua anafanya stock taking

Msaga_sumu

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2022
Posts
289
Reaction score
291
Ni muda sana sijaandika uzi, wakuu kwanza habarini,

Aseh mimi ni muhitimu wa chuo cha fedha hapa Tanzania, nimesoma masomo ya uhasibu na IT, nImekua nikijihusisha na shughuli za hapa na pale ila Mungu si Athumani napata chochote kitu.

Wazo langu bi kufungua consultation firm lakini kwa sasa sina mtaji huo, pia level yangu ya elimu hainiruhusu kwakua na level ya degree tu sina CPA japo na malengo ya kuisoma,,,

Sasa tuachane na hayo kwa ufupi nilitaka uliza wadau wenye uzoefu na maduka na hizi stores za kawaida hivi hawaitaji mtu anaeweza kua anafanya stock taking na audits za hapa na pale, na maswala mengine kama uandaaji wa tax consultations na vitu kama hivo.

Wenye uzoefu naomba nijue nipate chochote kitu katika research yangu.
 
Back
Top Bottom