Wadau wenzangu wa Forex...

Je unajiuliza maswali mengi mfano:

Nitaweza kutrade forex ?
Nitakuwa profitable forex trader?
Hivi hii ni fursa/carrier sahihi?
Kwanini nisiache tu hii biashara?

Na mengine mengi kama hayo njoo inbox nikupe dawa
Aisee[emoji23]
 
Je unajiuliza maswali mengi mfano:

Nitaweza kutrade forex ?
Nitakuwa profitable forex trader?
Hivi hii ni fursa/carrier sahihi?
Kwanini nisiache tu hii biashara?

Na mengine mengi kama hayo njoo inbox nikupe dawa
Mkuu tumwagie huo upupu hapahapa kwa faida ya wengi
 
Fanya kazi ww

Kamali izo ww
Naomba kujibu kwa faida ya wengi kipindi sisi tunabishana kuna watu wapo kimya wanaingiza pesa ya kutosha kwenye forex na wanaendesha maisha yao kupitia forex .Kwa uelewa wangu japo sio lazima ufuate kile ninachosema ,forex ni biashara kama biashara zingine tena ni biashara inayohitaji maarifa haswaa sio lelemama.tatizo unaweza kukuta mtu amesikia forex inalipa anajiingiza kwenye forex kichwakichwa bila kuwa na ujuzi wa kutosha kuhusu how to trade forex,matokeo yake anajikuta anashindwa na kupoteza mwishowe anaanza kulalamika na kuwaaminisha wengine kuwa forex ni kamali mara ni utapeli wakati mtu alishindwa kusoma na kupata maarifa ya kutosha ndio aingie sasa kwenye forex .Mwisho kwa dunia ya sasa kama unataka kufanikiwa kwenye jambo lolote tafadhali lifuatilie haswaaa soma,uliza,jaribu ndipo ufanikiwe.Narudia neno langu sio sheria unaweza ukafuata au ukaacha kufuata pia
 
Iyo sio biashara mkuu
Kumtafuta mtu Ili upate hela kupitia mtu huyo ni biashara kweli tena sio mtu watu wawili

Yaani kweli kabisaaa!!
 
Leo wazee wa volatility index kama nawaona
 
Ambao hawaamini waendelee kukaza fuvu[emoji857][emoji857]
 
Huu ni mtazamo wako, kwa ufahamu wako ulipoishia, hivyo sidhani kama ni busara kuwafanya wengine wakubaliane na mtazamo wako, kwa ukomo wa ufahamu wako ulipo ishia.

Ili kufanikiwa kwenye biashara ya FOREX inahitaji uwe na weledi wa kusoma movement ya exchange rates!!! Ama sivyo utalizwa kila siku mpaka utakula mbegu!!
 
Hapo ndiyo umeandika nini sasa? Hapa nilipo ka akaunti langu ka volatility tayari kanasoma 334 blue!! Na ndiyo kwanza najifunza,siyo lazima iwe wewe! Acha wengine wafanye yao mkuu
Iyo sio biashara mkuu
Kumtafuta mtu Ili upate hela kupitia mtu huyo ni biashara kweli tena sio mtu watu wawili

Yaani kweli kabisaaa!!
 
Je una maanisha nini unaposema movement ya exchange rate!

Movement ya Exchange Rate maana yake" kubadilka kwa bei za fedha za kigeni"!! Unatakiwa ujue ufanye nini bei hiyo inapopanda na pale inaposhuka!!! YOU MUST KNOW WHEN TO HOLD AND WHEN TO FOLD!!!!
 
Mkuu currency trading zipo manipulated sana na markert makers.

Karibu kwenye ulimwengu wa volatility index
 
Kaka mkuu mpaka sasa uneendeleaje na Forex
 
Acha kukulupuka na kubisha vitu usivovijua, hayo ya kumtafuta mtu sijui watu wawili unayatoa wapi? fatilia kwanza forex ni nn ndo ubishe
Iyo sio biashara mkuu
Kumtafuta mtu Ili upate hela kupitia mtu huyo ni biashara kweli tena sio mtu watu wawili

Yaani kweli kabisaaa!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
SAFI SANA MKUU NIPENDA ULIVYOTENGA ACC ZAKO MWAKANI NAANZA HUO MPANGOO KUWA NA ACC 1 NI RISK SANAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…