Josse kongolo
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 449
- 990
Safi aisee hebu nipe ujanja wa votality na pia unatumia broka gani mi natumia peperston lot kwa hii kitu inaanzia 0.10 so broka gani anaruhusu 0.01 natanguliza shukranLeo wazee wa volatility index kama nawaonaView attachment 1223456
Uko sahihi bila discipline huwezi kufanikiwa kwenye forex.Hyo hapo (10% daily profit challenge) nimeweka kianzio $100 ila unaweza kuanza kiasi chochote..nenda kwenye month one sheet mwanzo weka kiasi chochote itacalculate daily/weekly/monthly profit automatically....cha msingi hapa ni discipline...kwa mfano labda ukitengeneza weekly profit kwa siku moja....basi siku nne zilizosalia usiforce trades....tafuta tena setup nzuri hata kwa siku zote nne....ukipata loss dont revenge.... it has never worked and it will never....kaa mbali na charts for a while..
discipline discipline discipline discipline discipline discipline discipline discipline discipline
najaribu kuattach spread sheet inakataa......(The uploaded file does not have an allowed extension) hata sijui kwa nn tu....
Mwl.RCT msaada wako hapa tafadhali
Hizi naskia azinaga news?Leo wazee wa volatility index kama nawaonaView attachment 1223456
Hizi ni motoHizi naskia azinaga news?
Kwa msaada zaidi karibu t.me/TzVolatilitIndicesTradersSafi aisee hebu nipe ujanja wa votality na pia unatumia broka gani mi natumia peperston lot kwa hii kitu inaanzia 0.10 so broka gani anaruhusu 0.01 natanguliza shukran
Hana usumbufu hata kidogoSawa cheif kesho nitajaribu kujisajili na uzuri mi nina visacard ya backlays vp hana usumbufu kwenye registration
Hapa cha msingi ni right knowledge,capital ya kueleweka and good risk managementDuh ukienda against si unachoma fasta pia kama zinatembea sana
Mkuu mawakala wa binary unawapata wapi?Hapa cha msingi ni right knowledge,capital ya kueleweka and good risk management
Kama una account ya telegram search hii chanel @TzVolatilitIndicesTradersMkuu mawakala wa binary unawapata wapi?
Mwalimu naomba unisaidie kitabu cha direcci Astro fx uliwahi kukipasua humu maana nilipotezaKila mtu kwa utashi wake, ana uhuru wa kuchagua shughuri anayo ona ina mfaa katika maisha yake.
- Kuna waliochagua kilimo
- Kuna walio chagua ajira
- Kuna waliochagua biashara ndogo ndogo
- Kuna walio chagua ku_bet
- Kuna waliochagua kuwa wanasiasa
- Kuna waliochagua kufanya biashara ya ubadilishaji wa fedha
- Kuna waliochagua kuwa mama ntilie
- Kuna walio chagua kuwa waosha magari
- Kuna walio chagua kulelewa na kutofanya kazi yeyote
- .....
Waweza endelea orodha ni ndefu,
Ni utashi wao
Hivyo ni vyema na huna budi ndugu Swet-R kuheshimu utashi wa mtu na uchaguzi wa mtu binafsi kile alichochakua kufanya kwenye maisha yake licha ya changamoto anazokumbana nazo
Astro fx
@TzVolatilitIndicesTraders
Mkuu mawakala wa binary unawapata wapi?
Mjingamimi INA maana au vipi?Bank wanafungua account na ku trade?
Mjingamimi INA maana au vipi?Bank wanafungua account na ku trade?
kwani kujifunza forex haihitaji bidii Mkuu?Forex ni mitandao ya kishetani tu hio
Fanya kazi jitume usiangalie watu wanakuangaliaje
Watanzania tunapenda usharobaro sana
Tembeza vitu uza kwa juhudi tafuta kazi ata
Beba ata tofali if possible ACHENI kupenda mafanikio ya haraka fanya kazi kwa bidii
NARUDIA BIDII NA ULINZI WA MUNGU VINATOSHA SANA
Achana na ujinga huo wezi tu hao
Duh hii mpya kuiskiaTrade na broker makini na mzuri anayekubali hata kwa currency za East Africa TSH,KES na UGX na waweza kutrade hata kama una pesa kidogo ya kuanza kutrade real acc unaweza kuanza hata kwa kuweka Tsh 50,000 na kwenye MT5 inasoma hivyo hiyo kwa maana kuwa utatrade kwa Tsh hivyo kukufanya uwe safe hata kuunguza inakuwa ni ngumu
Broker anaitwa AMbroker
AM Broker: Online Trading, Money Management, Partnerships
AM Broker offers over 50 forex currency pairs, stocks, indices, ETFs commodities, and cryptocurrencies for your personal investment and trading options.www.ambroker.com
Unaposajiri unaweza chagua hata Kenya Shillings ambayo Tsh 50000 ni sawa na Ksh 2,256 hata kwa broker inasoma hivyo hivyo
NB:Badala ya kutumia cent acc zenye spreads kubwa hii inaweza kuwa suruhu lkn pia kuna pair pendwa ya NASDAQ ambayo inakubali kutrade hata lot ya 0.10 tofauti na broker wengine wanaotaka uanze na lot ya 1 tu
KUMBUKA KUWEKA NA KUTOA NI KWA M-PESA KUPITIA IPAY AFRICA
Habari njema ni kuwa kama hutumii bank kwe kuweka na kutoa unaruhusiwa kuverify kitambulisho (ID) yako na unaweza kutoa pesa yako muda wowote kwa wepesi zaidi
Endeleeni kufurahia pamoja na ambroker
AM Broker: Online Trading, Money Management, Partnerships
AM Broker offers over 50 forex currency pairs, stocks, indices, ETFs commodities, and cryptocurrencies for your personal investment and trading options.www.ambroker.com