Wadau wenzangu wa Forex...

Uko sahihi bila discipline huwezi kufanikiwa kwenye forex.
 
Safi aisee hebu nipe ujanja wa votality na pia unatumia broka gani mi natumia peperston lot kwa hii kitu inaanzia 0.10 so broka gani anaruhusu 0.01 natanguliza shukran
Kwa msaada zaidi karibu t.me/TzVolatilitIndicesTraders
 
Duh ukienda against si unachoma fasta pia kama zinatembea sana
Hizi ni moto
Ukiwa Na capital ya kueleweka kulaza 500$ Kwa siku ni kitu cha kawaida
 
Mkuu mawakala wa binary unawapata wapi?
Kama una account ya telegram search hii chanel @TzVolatilitIndicesTraders
Hapa utapata
1) wazoefu wa forex Na unaweza kuwauliza maswali Na utasaidiwa
2)pia kuna signal kama unataka na ni free
3)kuna mawakala wa binary
 
Mwalimu naomba unisaidie kitabu cha direcci Astro fx uliwahi kukipasua humu maana nilipoteza
 
Mtu onyeshe na withdrawal... nasema hiv akamatwe Ontario afungwe jiwe shingoni atupwe baharini tena katikat ya bahari yenye papa wengi
 
Kati ya Templer na Tickmill ni yupi broker mzuri wadau?
 
kwani kujifunza forex haihitaji bidii Mkuu?
 
Duh hii mpya kuiskia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…