Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
We bibi we. Nami nitakuandalia wako soon binti yangu.Kina mama ninawaandalia ushauri wenu
We bibi we. Nami nitakuandalia wako soon binti yangu.
🤣🤣🤣Mh!🤓🤓
Umenifurahisha Sana To yeye.
Mimi sio mtu wa kuogopwa
🤣🤣🤣Mh!
Umekuwa mkali kwa maandishi yako mpaka unaonekana ulivyokifuu🥴Unamuogopa mtibeli Kweli. Hivi umekosa wa kuogopa
Umekuwa mkali kwa maandishi yako mpaka unaonekana ulivyokifuu🥴
Ulishasema Watibeli mnabeba majukumu yote sasa hivi umetepeta au sio au unaitafuta transgender uko kwenye transformative stage?
OkayNi Mkali kwenye upuuzi lakini sina ukali usio na Sababu
Okay
Ilibidi uanze kwa kukiri mabadiriko ya kimtizamo maana mara kadhaa umekuwa na mrengo tofauti na hii hapa ya leoWatibeli hawabebi majukumu ya watu wajinga na wapumbavu.
Kama Mungu asivyobeba majukumu ya watu wajinga na wapumbavu
Ilibidi uanze kwa kukiri mabadiriko ya kimtizamo maana mara kadhaa umekuwa na mrengo tofauti na hii hapa ya leo
Yep. Nilitaka litoke kwa kidosho wewe.Wewe si ndiye ulitaka andiko lenu wamama au?
Yep. Nilitaka litoke kwa kidosho wewe.
Unauma unapuliza na wakati mwingine unajikataa itikadi zako, ni njema pia katika chagizo la utunduiziMimi siongeagi mitazamo. Nipo kimantiki.
Hakuna sehemu nimekuwa tofauti.
Kusema wanawake wafanye Kazi haimaanishi nimesema wanaume tusitoe huduma.
Ukisoma maandiko yangu tumia zaidi ufahamu
Haya mama. Asante sana na msalimie mumeo.Nitakuandikia andiko lenu wamama
nakuona kama huna akili hata ya kula ugali na kachumbari, jamaa kashusha uhalisia mtupu, mambo yamebadilika sio kama zamani, hata kwa macho huoni mitaani wanandoa wakiachana mapema tu? Acha ubishiPia, wape akina mama ushauri huo huo kuhusiana na warume. Nadhani unaandika kutokana na frustrations zako binafsi ambazo umezigeneralise bila sababu kiakili.
na mbususu pia mtoeHela tutawaomba tu mpaka mkome