Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Ofcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu).

Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A.

Usituone sisi tunalewa, tunaagiza vinywaji vinaletwa na wadada wameshika mabango yenye majina yetu ukadhan nn sijui na wewe ukatamani kuiga, hio sio sawa kama bado huna 'financial freedom'.

Kuna dogo mmoja namfahamu, nilimconnect akapiga dili nikampa laki tano, namjua bado ni hustler ila namkubali kwa sababu dogo anajua kazi na ana bidii ya kazi, sasa masikin ya Mungu weekend ilikua kesho yake nakuta yupo chimbo langu anakunywa hovyo na videm viwili, wanapiga piga picha tu, mimi nikapotezea sabab huwa sina mambo ya kuwapangia watu matumizi.

Kinachofanya niandike huu uzi ni kwamba jana (baada ya wiki 2) dogo nilimuita tena aje tupige dili jingine, dogo akawa analalamika anaumwa, nikaenda geto kwake kumcheki, kweli dogo yupo hoi, kumuuliza kama kaenda hospitali anasema eti hana hela, nikamwambie "wewe wiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata" , dogo visingizio vikawa vingi, nikamkumbusha nilimuona bar, dogo ikabidi awe mpole akasema "nazisaka kwa tabu ndo maana lazima niburudike" Nikamwambia ukiendelea hivo utaenjoy burudan ya masaa machache kisha itakurudisha kwenye shida.

JIKAZE, JINYIME KWA MUDA ILE UJE UWE HURU KIUCHUMI MOJA KWA MOJA.

Out of topic, Mtoto mkali mmoja wa JF aliepo karibu na mikocheni anaependa bata anicheki, nipo mitaa hii weekend nzima

#Weekending
 
Nidhamu ya pesa ni mtihani mzito shekh!

Imagine umehangaika zako mara umepiga “mshindo” wako alafu ukiangalia ndio weekend imeingia kila mahali ukipita unamsikia mariooo

“Shiiiiiiii badiiiii”
“nilikuwa na wanangu kina chinooo”
“niseme nsisemee, semaaaa” X 2

Ukizidi kusogea unamsikia jux nae ,
“huyuuu demu ake naniiii, anpandisha midadiii, anitafutia lawama,……….”

Ukisema uzame ndaniii tu kwisha habari yako, unakuta watoto wamepanda juu ya meza wanacheza na wamependeza balaaa!

Unaendaje kulala mkuu, au tukuulize,

we kuwezaaa???

Nyie achenii banaa starehe ni tamuuu 😂😂

Tukiamka asubuhi ndio majuto huanza.
 
Ofcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu).

Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A.

Usituone sisi tunalewa, tunaagiza vinywaji vinaletwa na wadada wameshika mabango yenye majina yetu ukadhan nn sijui na wewe ukatamani kuiga, hio sio sawa kama bado huna 'financial freedom'.

Kuna dogo mmoja namfahamu, nilimconnect akapiga dili nikampa laki tano, namjua bado ni hustler ila namkubali kwa sababu dogo anajua kazi na ana bidii ya kazi, sasa masikin ya Mungu weekend ilikua kesho yake nakuta yupo chimbo langu anakunywa hovyo na videm viwili, wanapiga piga picha tu, mimi nikapotezea sabab huwa sina mambo ya kuwapangia watu matumizi.

Kinachofanya niandike huu uzi ni kwamba jana (baada ya wiki 2) dogo nilimuita tena aje tupige dili jingine, dogo akawa analalamika anaumwa, nikaenda geto kwake kumcheki, kweli dogo yupo hoi, kumuuliza kama kaenda hospitali anasema eti hana hela, nikamwambie "wewe wiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata" , dogo visingizio vikawa vingi, nikamkumbusha nilimuona bar, dogo ikabidi awe mpole akasema "nazisaka kwa tabu ndo maana lazima niburudike" Nikamwambia ukiendelea hivo utaenjoy burudan ya masaa machache kisha itakurudisha kwenye shida.

JIKAZE, JINYIME KWA MUDA ILE UJE UWE HURU KIUCHUMI MOJA KWA MOJA.

Out of topic, Mtoto mkali mmoja wa JF aliepo karibu na mikocheni anaependa bata anicheki, nipo mitaa hii weekend nzima

#Weekending
Wakiona watu wana push Prado wanachukulia poa sana.

Pesa inahitaji adabu sana
 
Nidhamu ya pesa ni mtihani mzito shekh!

Imagine umehangaika zako mara umepiga “mshindo” wako alafu ukiangalia ndio weekend imeingia kila mahali ukipita unamsikia mariooo

“Shiiiiiiii badiiiii”
“nilikuwa na wanangu kina chinooo”
“niseme nsisemee, semaaaa” X 2

Ukizidi kusogea unamsikia jux nae ,
“huyuuu demu ake naniiii, anpandisha midadiii, anitafutia lawama,……….”

Ukisema uzame ndaniii tu kwisha habari yako, unakuta watoto wamepanda juu ya meza wanacheza na wamependeza balaaa!

Unaendaje kulala mkuu, au tukuulize,

we kuwezaaa???

Nyie achenii banaa starehe ni tamuuu 😂😂

Tukiamka asubuhi ndio majuto huanza.
Kaka niko pamoja na wewe...
Ukifika unasema ngoja niagize Nyagi ndogo na Vibia tuwili vya kutolea uchovu na aibu.
Mara paap wana hawa hapa sijui nini kinaendelea...
Asubuhi Lak imekata mtoto anavaa asepe...Dah.Hii miaka kushinda Stareh inahitajika Juhudi
 
Nidhamu ya pesa ni mtihani mzito shekh!

Imagine umehangaika zako mara umepiga “mshindo” wako alafu ukiangalia ndio weekend imeingia kila mahali ukipita unamsikia mariooo

“Shiiiiiiii badiiiii”
“nilikuwa na wanangu kina chinooo”
“niseme nsisemee, semaaaa” X 2

Ukizidi kusogea unamsikia jux nae ,
“huyuuu demu ake naniiii, anpandisha midadiii, anitafutia lawama,……….”

Ukisema uzame ndaniii tu kwisha habari yako, unakuta watoto wamepanda juu ya meza wanacheza na wamependeza balaaa!

Unaendaje kulala mkuu, au tukuulize,

we kuwezaaa???

Nyie achenii banaa starehe ni tamuuu 😂😂

Tukiamka asubuhi ndio majuto huanza.
Bora unajua maumivu na majuto ya asubuhi yake, hayo maumivu yana-undo raha yote ulosikia jana yake, sasa wewe chagua kuwa wa maumivu kila baada ya weekend, au maumivu kwa baadhi ya weekend chache ili ujichange ufanye la maana utoke huko mitaroni jumla
 
Ofcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu).

Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A.

Usituone sisi tunalewa, tunaagiza vinywaji vinaletwa na wadada wameshika mabango yenye majina yetu ukadhan nn sijui na wewe ukatamani kuiga, hio sio sawa kama bado huna 'financial freedom'.

Kuna dogo mmoja namfahamu, nilimconnect akapiga dili nikampa laki tano, namjua bado ni hustler ila namkubali kwa sababu dogo anajua kazi na ana bidii ya kazi, sasa masikin ya Mungu weekend ilikua kesho yake nakuta yupo chimbo langu anakunywa hovyo na videm viwili, wanapiga piga picha tu, mimi nikapotezea sabab huwa sina mambo ya kuwapangia watu matumizi.

Kinachofanya niandike huu uzi ni kwamba jana (baada ya wiki 2) dogo nilimuita tena aje tupige dili jingine, dogo akawa analalamika anaumwa, nikaenda geto kwake kumcheki, kweli dogo yupo hoi, kumuuliza kama kaenda hospitali anasema eti hana hela, nikamwambie "wewe wiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata" , dogo visingizio vikawa vingi, nikamkumbusha nilimuona bar, dogo ikabidi awe mpole akasema "nazisaka kwa tabu ndo maana lazima niburudike" Nikamwambia ukiendelea hivo utaenjoy burudan ya masaa machache kisha itakurudisha kwenye shida.

JIKAZE, JINYIME KWA MUDA ILE UJE UWE HURU KIUCHUMI MOJA KWA MOJA.

Out of topic, Mtoto mkali mmoja wa JF aliepo karibu na mikocheni anaependa bata anicheki, nipo mitaa hii weekend nzima

#Weekending
Kaka mkubwa shikamoo nimeona umetoa ushauri mzuri sana hapa ...shida yangu kama unaweza kunipa kazi mdogo wako hata ya kuniingizia 10k kwa siku nitakushukuru bro wangu..Nisaidie hapa kazi za nguvu nakimbiza na pia nina degree ya masuala ya lishe ya binadamu. Kwa sasa sina kazi naunga unga tuu. Ntashukuru hata kwa ushauri wowote utakaonipa ambao unaweza kuniongoza. Kwa sasa nipo Dsm.
Natangluliza shukurani,
 
Kaka niko pamoja na wewe...
Ukifika unasema ngoja niagize Nyagi ndogo na Vibia tuwili vya kutolea uchovu na aibu.
Mara paap wana hawa hapa sijui nini kinaendelea...
Asubuhi Lak imekata mtoto anavaa asepe...Dah.Hii miaka kushinda Stareh inahitajika Juhudi
Ni muda wa kubadilika.

Mie mlevi sana toka nasoma lakini niligundua hio trap nikiwa mwaka wa pili kazini, nlokua nalewa nao enzi hizo nikawaachia siti, wakaendelea, sasa hivi ni choka mbaya kupita maelezo.

Mie nilipause kdg, nikajenga streams za hela, hapa nipo bar toka asbh naperuzi tu mitandaoni
 
Nidhamu ya pesa ni mtihani mzito shekh!

Imagine umehangaika zako mara umepiga “mshindo” wako alafu ukiangalia ndio weekend imeingia kila mahali ukipita unamsikia mariooo

“Shiiiiiiii badiiiii”
“nilikuwa na wanangu kina chinooo”
“niseme nsisemee, semaaaa” X 2

Ukizidi kusogea unamsikia jux nae ,
“huyuuu demu ake naniiii, anpandisha midadiii, anitafutia lawama,……….”

Ukisema uzame ndaniii tu kwisha habari yako, unakuta watoto wamepanda juu ya meza wanacheza na wamependeza balaaa!

Unaendaje kulala mkuu, au tukuulize,

we kuwezaaa???

Nyie achenii banaa starehe ni tamuuu 😂😂

Tukiamka asubuhi ndio majuto huanza.

Unasema basi unywe tu bia moja ukimaliza unaskia huu wimbo

Haka ka-dame kazuri joh kako vero
Kisham-sham kinyam kitam-tam
Shuka na ngeus siezi mind ata kapedo
Dame ni kafupi kanapenda magendo
Ngoma ni kali uliza Makurutu gang gang
Imebaki shangwe, kelele na nderemo (wueh!)
Shamra-shamra kelele na nderemo (ayayaya!)
Shamra shamra kelele na nderemo (wueh!)

Nidhamu itatoka wapi😅😅😅
 
1686500706985.jpg
 
Kaka mkubwa shikamoo nimeona umetoa ushauri mzuri sana hapa ...shida yangu kama unaweza kunipa kazi mdogo wako hata ya kuniingizia 10k kwa siku nitakushukuru bro wangu..Nisaidie hapa kazi za nguvu nakimbiza na pia nina degree ya masuala ya lishe ya binadamu. Kwa sasa sina kazi naunga unga tuu. Ntashukuru hata kwa ushauri wowote utakaonipa ambao unaweza kuniongoza. Kwa sasa nipo Dsm.
Natangluliza shukurani,
Bahati mbaya sana JF naitumia kupiga zogo tu mkuu, sijawahi fanya connection yyt kupitia JF, maybe kama siku moja tutakutana in real life tunaweza fanya kitu, ila hapa ni zogo, story tu za hapa na pale
 
Ni muda wa kubadilika.

Mie mlevi sana toka nasoma lakini niligundua hio trap nikiwa mwaka wa pili kazini, nlokua nalewa nao enzi hizo nikawaachia siti, wakaendelea, sasa hivi ni choka mbaya kupita maelezo.

Mie nilipause kdg, nikajenga streams za hela, hapa nipo bar toka asbh naperuzi tu mitandaoni
Nimeipenda hii
 
Unasema basi unywe tu bia moja ukimaliza unaskia huu wimbo

Haka ka-dame kazuri joh kako vero
Kisham-sham kinyam kitam-tam
Shuka na ngeus siezi mind ata kapedo
Dame ni kafupi kanapenda magendo
Ngoma ni kali uliza Makurutu gang gang
Imebaki shangwe, kelele na nderemo (wueh!)
Shamra-shamra kelele na nderemo (ayayaya!)
Shamra shamra kelele na nderemo (wueh!)

Nidhamu itatoka wapi😅😅😅
Nidhamu is hard
Majuto is hard

CHOOSE YOUR HARD
 
Bahati mbaya sana JF naitumia kupiga zogo tu mkuu, sijawahi fanya connection yyt kupitia JF, maybe kama siku moja tutakutana in real life tunaweza fanya kitu, ila hapa ni zogo, story tu za hapa na pale
poa mkuu maisha ndio hivo kama unaweza ku panga kukutana itakua poa sana hata ushauri tuu kwa bro mliotutangulia. Kama utakua tayari lakini siku ukiibahatiha niite mdogo wako
 
Ni muda wa kubadilika.

Mie mlevi sana toka nasoma lakini niligundua hio trap nikiwa mwaka wa pili kazini, nlokua nalewa nao enzi hizo nikawaachia siti, wakaendelea, sasa hivi ni choka mbaya kupita maelezo.

Mie nilipause kdg, nikajenga streams za hela, hapa nipo bar toka asbh naperuzi tu mitandaoni
Dah hongera sana...
Hata mimi napambana Japo ukinambia nisivibe na vibia ntakuwa Muongo
 
Ofcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu).

Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A.

Usituone sisi tunalewa, tunaagiza vinywaji vinaletwa na wadada wameshika mabango yenye majina yetu ukadhan nn sijui na wewe ukatamani kuiga, hio sio sawa kama bado huna 'financial freedom'.

Kuna dogo mmoja namfahamu, nilimconnect akapiga dili nikampa laki tano, namjua bado ni hustler ila namkubali kwa sababu dogo anajua kazi na ana bidii ya kazi, sasa masikin ya Mungu weekend ilikua kesho yake nakuta yupo chimbo langu anakunywa hovyo na videm viwili, wanapiga piga picha tu, mimi nikapotezea sabab huwa sina mambo ya kuwapangia watu matumizi.

Kinachofanya niandike huu uzi ni kwamba jana (baada ya wiki 2) dogo nilimuita tena aje tupige dili jingine, dogo akawa analalamika anaumwa, nikaenda geto kwake kumcheki, kweli dogo yupo hoi, kumuuliza kama kaenda hospitali anasema eti hana hela, nikamwambie "wewe wiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata" , dogo visingizio vikawa vingi, nikamkumbusha nilimuona bar, dogo ikabidi awe mpole akasema "nazisaka kwa tabu ndo maana lazima niburudike" Nikamwambia ukiendelea hivo utaenjoy burudan ya masaa machache kisha itakurudisha kwenye shida.

JIKAZE, JINYIME KWA MUDA ILE UJE UWE HURU KIUCHUMI MOJA KWA MOJA.

Out of topic, Mtoto mkali mmoja wa JF aliepo karibu na mikocheni anaependa bata anicheki, nipo mitaa hii weekend nzima

#Weekending
Ukipata wawili nipe mmoja.. Tukutane Mikocheni kwa mbele kidogo tupeane tips.
 
Bora unajua maumivu na majuto ya asubuhi yake, hayo maumivu yana-undo raha yote ulosikia jana yake, sasa wewe chagua kuwa wa maumivu kila baada ya weekend, au maumivu kwa baadhi ya weekend chache ili ujichange ufanye la maana utoke huko mitaroni jumla
Na hapo ndipo mtihani wenyewe ulipo, tukubali tukatae , swala la nidhamu ya fedha is not for everyone, either kwenye malezi yako ulikuzwa hivyo, au maisha yamekufanya ukawa hivyo au kuna wale wakina sisi tunaojifunza in a hard way, ila sio kitu rahisi kabisaaaa! 😂
 
Back
Top Bottom