Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

CHAI.. Kwani mjomba wako ni Mbunge? Mtumishi wa serikali mwenye mafao kiasi hicho ni lazima ana mshahara mkubwa, na tayari amejipanga vyakutosha kabla ya kustaafu. Acheni kuleta stori za kwenye vijiwe vya kahawa hapa
Pole. Bahati mbaya uwe mtupu kichwani na bahati mbaya zaidi uwe mtupu pia kwenye uchumi. Ndio kati ya hayo unaweza kuona kila Jambo ni maigizo. Bahati mbaya zaidi miaka inaenda unabaki kuona kila kila kitu ni chai hata uhalisia
 
Back
Top Bottom