Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hali ya kiuchumi imezalisha tabia ya Wadada wengi kuwa omba omba kwenye mahusiano.Wapo wenye mizinga kiasi, pia unavyojiweka pia.
Na hii imepelekea mahusiano mengi kulega lega.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hali ya kiuchumi imezalisha tabia ya Wadada wengi kuwa omba omba kwenye mahusiano.Wapo wenye mizinga kiasi, pia unavyojiweka pia.
Ndiyo mkuu kila demu ni yatimaHali ya kiuchumi imezalisha tabia ya Wadada wengi kuwa omba omba kwenye mahusiano.
Na hii imepelekea mahusiano mengi kulega lega.
Hatari sana 😢Ndiyo mkuu kila demu ni yatima
Tatizo wanapenda maisha mazuri na mazuri ni gharama sana tena sana.Hatari sana 😢
Ukidate na demu mwenye gharama hata upate milioni 2 kila mwezi kama mshahara hiyo pesa ni ndogo na atakuona wewe ni broke man.Hatari sana 😢
Kugegeda maana hujasema kuwa hutombi🤣🤣🤣🤣Mungu anisaidie nisiwe na huo uraibu.
Sijawahi Kubet
Sinywi pombe
Sivuti sigara/bange
Sijui nainjoi nini maisha haya 😅🙌
Matumizi gani mabovi hayo jamani na yapi ni matumizi mazuriNI ukweli mtupu , sisi vijana tuna matumizi mabovu ya pesa!
Ni kweli usemacho, ili kukidhi mahitaji yao inalazimu mpangwe boyfriends watatu kuendelea.Tatizo wanapenda maisha mazuri na mazuri ni gharama sana tena sana.
Sahihi kabisa....ukianza bia na nyapu ukiwa kwenye stage ya kuunga unga basi ujue utachelewa sanaNi muda wa kubadilika.
Mie mlevi sana toka nasoma lakini niligundua hio trap nikiwa mwaka wa pili kazini, nlokua nalewa nao enzi hizo nikawaachia siti, wakaendelea, sasa hivi ni choka mbaya kupita maelezo.
Mie nilipause kdg, nikajenga streams za hela, hapa nipo bar toka asbh naperuzi tu mitandaoni
Mtu kama huyo ukimsaidia basi wewe ni mjinga then yeye anakuwa mjanjanaunga mkono hoja vip hukumsaidia janja hela aende hospital?
Hii nahisi natakiwa nikatubu kila mwaka ili kupunguza dhambi 😅Kugegeda maana hujasema kuwa hutombi🤣🤣🤣🤣
😅😅😅 banzi zitoNi kweli usemacho, ili kukidhi mahitaji yao inalazimu mpangwe boyfriends watatu kuendelea.
Baada ya hapo ni mwendo wa kuugua UTI na kaswende kila siku bila kusahau risk ya HIV
kama yupo hoi sio mbaya asijekufaMtu kama huyo ukimsaidia basi wewe ni mjinga then yeye anakuwa mjanja
Aise hatari....sii mchezo warembo watamu bwana asikwambie mtuHii nahisi natakiwa nikatubu kila mwaka ili kupunguza dhambi 😅
Mbaya zaidi hawana maajabu kitandani zaidi ya kumiliki sura nzuri tu.Ukidate na demu mwenye gharama hata upate milioni 2 kila mwezi kama mshahara hiyo pesa ni ndogo na atakuona wewe ni broke man.
KweliMbaya zaidi hawana maajabu kitandani zaidi ya kumiliki sura nzuri tu.
Have once dated one, sura ya kawaida hana vizinga ila kitandani ni balaa 🙌
=======
Kuwa na mahusiano mengi kwa Mwanaume ni gharama sana kwa Dunia ya sasa yenye utandawazi
Hahaha..........unajikuta kila siku unataka kutafuna tu 😅😅🏃🏃🏃Aise hatari....sii mchezo warembo watamu bwana asikwambie mtu
Hatari Mkuu😅😅😅 banzi zito