Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Tatizo wanapenda maisha mazuri na mazuri ni gharama sana tena sana.
Ni kweli usemacho, ili kukidhi mahitaji yao inalazimu mpangwe boyfriends watatu kuendelea.

Baada ya hapo ni mwendo wa kuugua UTI na kaswende kila siku bila kusahau risk ya HIV
 
Ni muda wa kubadilika.

Mie mlevi sana toka nasoma lakini niligundua hio trap nikiwa mwaka wa pili kazini, nlokua nalewa nao enzi hizo nikawaachia siti, wakaendelea, sasa hivi ni choka mbaya kupita maelezo.

Mie nilipause kdg, nikajenga streams za hela, hapa nipo bar toka asbh naperuzi tu mitandaoni
Sahihi kabisa....ukianza bia na nyapu ukiwa kwenye stage ya kuunga unga basi ujue utachelewa sana
 
Ukidate na demu mwenye gharama hata upate milioni 2 kila mwezi kama mshahara hiyo pesa ni ndogo na atakuona wewe ni broke man.
Mbaya zaidi hawana maajabu kitandani zaidi ya kumiliki sura nzuri tu.

Have once dated one, sura ya kawaida hana vizinga ila kitandani ni balaa 🙌

=======
Kuwa na mahusiano mengi kwa Mwanaume ni gharama sana kwa Dunia ya sasa yenye utandawazi
 
Mbaya zaidi hawana maajabu kitandani zaidi ya kumiliki sura nzuri tu.

Have once dated one, sura ya kawaida hana vizinga ila kitandani ni balaa 🙌

=======
Kuwa na mahusiano mengi kwa Mwanaume ni gharama sana kwa Dunia ya sasa yenye utandawazi
Kweli
 
Back
Top Bottom