Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

Nakumbuka ilifika kipindi mpaka nikawa najichukia kwa matumizi mabaya ya fedha, zikiisha unajiapiza viapo vyote kuwa next time nitakuwa na discipline, Mungu anakuangalia tu huku anasema iiiiiiiiiiih! (In magufuli voice) , ni kama Mungu anakuwa anakupa majaribu vile.

Haipiti wiki mbili mara “mshindo” huu hapaa, sa si unasema ngoja nikapige mbili tu alafu nipate mood ya kusuka mipango, unasahau safari moja huanzisha nyingine kuja kushtuka laki ishaisha 😂😂 unajipa kauli za kishujaa, Sea never dry, man never die 😂😂😂 kesho nayo siku.

Kuja kukaaa sawa mwezi, mwaka , miaka inakatika maisha yako ni yale yale unapiga mark time tu.
 
Nidhamu ya pesa ni mtihani mzito shekh!

Imagine umehangaika zako mara umepiga “mshindo” wako alafu ukiangalia ndio weekend imeingia kila mahali ukipita unamsikia mariooo

“Shiiiiiiii badiiiii”
“nilikuwa na wanangu kina chinooo”
“niseme nsisemee, semaaaa” X 2

Ukizidi kusogea unamsikia jux nae ,
“huyuuu demu ake naniiii, anpandisha midadiii, anitafutia lawama,……….”

Ukisema uzame ndaniii tu kwisha habari yako, unakuta watoto wamepanda juu ya meza wanacheza na wamependeza balaaa!

Unaendaje kulala mkuu, au tukuulize,

we kuwezaaa???

Nyie achenii banaa starehe ni tamuuu [emoji23][emoji23]

Tukiamka asubuhi ndio majuto huanza.
Hahahah
 
Nadhani kuna umri fulani wa ujana tena kwa wenzangu na mimi ambapo hatusubiri salary mwisho wa mwezi the more you earn kuna ile tabia unakuwa nayo kuwa hii ikienda kesho nitapata nyingine, kumbe hujui wakati ni sasa, wakati unasema nitaanza kusave kesho, kuna wenzako wanazidi kupiga hatua kwenye maisha.

All in all inahitajika commitment kubwa sana kwenye swala la discipline ya pesa na maisha kiujumla, kama OP alivyosema , you have to choose ufurahie moments za muda mfupi na majuto endelevu au ukubali kujijima na mengine yakupite for better tomorrow, the choice is yours.
 
Nakumbuka ilifika kipindi mpaka nikawa najichukia kwa matumizi mabaya ya fedha, zikiisha unajiapiza viapo vyote kuwa next time nitakuwa na discipline, Mungu anakuangalia tu huku anasema iiiiiiiiiiih! (In magufuli voice) , ni kama Mungu anakuwa anakupa majaribu vile.

Haipiti wiki mbili mara “mshindo” huu hapaa, sa si unasema ngoja nikapige mbili tu alafu nipate mood ya kusuka mipango, unasahau safari moja huanzisha nyingine kuja kushtuka laki ishaisha 😂😂 unajipa kauli za kishujaa, Sea never dry, man never die 😂😂😂 kesho nayo siku.

Kuja kukaaa sawa mwezi, mwaka , miaka inakatika maisha yako ni yale yale unapiga mark time tu.
Nmecheka sana hadi wananiona chizi hapa nlipokaa, eti "Unajipa kauli za kishujaa Sea never dry, man never die"
 
Nidhamu ya pesa ni mtihani mzito shekh!

Imagine umehangaika zako mara umepiga “mshindo” wako alafu ukiangalia ndio weekend imeingia kila mahali ukipita unamsikia mariooo

“Shiiiiiiii badiiiii”
“nilikuwa na wanangu kina chinooo”
“niseme nsisemee, semaaaa” X 2

Ukizidi kusogea unamsikia jux nae ,
“huyuuu demu ake naniiii, anpandisha midadiii, anitafutia lawama,……….”

Ukisema uzame ndaniii tu kwisha habari yako, unakuta watoto wamepanda juu ya meza wanacheza na wamependeza balaaa!

Unaendaje kulala mkuu, au tukuulize,

we kuwezaaa???

Nyie achenii banaa starehe ni tamuuu [emoji23][emoji23]

Tukiamka asubuhi ndio majuto huanza.
[emoji2][emoji2]

Kweli wewe Mla Bata.
 
Nidhamu ya pesa ni mtihani mzito shekh!

Imagine umehangaika zako mara umepiga “mshindo” wako alafu ukiangalia ndio weekend imeingia kila mahali ukipita unamsikia mariooo

“Shiiiiiiii badiiiii”
“nilikuwa na wanangu kina chinooo”
“niseme nsisemee, semaaaa” X 2

Ukizidi kusogea unamsikia jux nae ,
“huyuuu demu ake naniiii, anpandisha midadiii, anitafutia lawama,……….”

Ukisema uzame ndaniii tu kwisha habari yako, unakuta watoto wamepanda juu ya meza wanacheza na wamependeza balaaa!

Unaendaje kulala mkuu, au tukuulize,

we kuwezaaa???

Nyie achenii banaa starehe ni tamuuu 😂😂

Tukiamka asubuhi ndio majuto huanza.
😆 😆 😆 kula bata...mla bata...hakuna namna
 
Kaka niko pamoja na wewe...
Ukifika unasema ngoja niagize Nyagi ndogo na Vibia tuwili vya kutolea uchovu na aibu.
Mara paap wana hawa hapa sijui nini kinaendelea...
Asubuhi Lak imekata mtoto anavaa asepe...Dah.Hii miaka kushinda Stareh inahitajika Juhudi
Kumbe wahanga tuko wengi [emoji23]
 
Unasema basi unywe tu bia moja ukimaliza unaskia huu wimbo

Haka ka-dame kazuri joh kako vero
Kisham-sham kinyam kitam-tam
Shuka na ngeus siezi mind ata kapedo
Dame ni kafupi kanapenda magendo
Ngoma ni kali uliza Makurutu gang gang
Imebaki shangwe, kelele na nderemo (wueh!)
Shamra-shamra kelele na nderemo (ayayaya!)
Shamra shamra kelele na nderemo (wueh!)

Nidhamu itatoka wapi[emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23]
 
Nadhani kuna umri fulani wa ujana tena kwa wenzangu na mimi ambapo hatusubiri salary mwisho wa mwezi the more you earn kuna ile tabia unakuwa nayo kuwa hii ikienda kesho nitapata nyingine, kumbe hujui wakati ni sasa, wakati unasema nitaanza kusave kesho, kuna wenzako wanazidi kupiga hatua kwenye maisha.

All in all inahitajika commitment kubwa sana kwenye swala la discipline ya pesa na maisha kiujumla, kama OP alivyosema , you have to choose ufurahie moments za muda mfupi na majuto endelevu au ukubali kujijima na mengine yakupite for better tomorrow, the choice is yours.
Kabisa mkuu, hapa cha muhimu kama mtu unataka uchomoke haraka uwe na wale marafiki ambao wao tunaweza kuwaita 'wanafiki' au 'wajanja' lkn wa maendeleo. Kuna marafiki mnakula bata wote ila ikifikia saa fln yeye humuoni, au anakunywa kdg kachangamka lkn saa nne tu huyooo ashaondoka, wewe unabaki unafukuzia madem, dem kakukalisha anaagiza tu, saa saba anakwambia anaenda kulala kwake, unaanza kutafuta malaya mwingine, hapo kuja kushtuka kesho yake ushamwaga kama 300k, ndo unakutana na mchizi wako 'mnaaa'. Hao wachizi wanasaidia sana kukufanya ushtuke na ujione mjinga kisha unakua na hasira ya kutoka huko
 
Kaka mkubwa shikamoo nimeona umetoa ushauri mzuri sana hapa ...shida yangu kama unaweza kunipa kazi mdogo wako hata ya kuniingizia 10k kwa siku nitakushukuru bro wangu..Nisaidie hapa kazi za nguvu nakimbiza na pia nina degree ya masuala ya lishe ya binadamu. Kwa sasa sina kazi naunga unga tuu. Ntashukuru hata kwa ushauri wowote utakaonipa ambao unaweza kuniongoza. Kwa sasa nipo Dsm.
Natangluliza shukurani,
Mkuu mbona hii kazi yako unaweza kujiajiri kwa gharama ndogo , tena na bando la kuingia online unalo kabisa jitafute mkuu
 
Back
Top Bottom