Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Bora uwe unapiga kimoja lakini ikiwa vyote, ndiyo balaa zaidi asubuhi una amka huna hata buku 5 ya supuππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora uwe unapiga kimoja lakini ikiwa vyote, ndiyo balaa zaidi asubuhi una amka huna hata buku 5 ya supuππππππ
Huwezi amini hata huyu dogo nnaemuongelea hapa ni fundi wa kitu fln hivi,Umenikumbusha fundi wangu mmoja alikuwa akinijengea kibanda mahali fulani, ilikuwa nikimlipa maybe 350k basi atakuja kazini tena baada ya siku tatu hadi nne hela zikimwishia.
Kuna siku nimemlipa 700k baada ya siku mbili anasema anaumwa hana hata mia ya kwenda Hospitali, kumbe jana yake alikesha Kitambaa Cheupe na wale slay queens.
Yaani totozi na gambe ndiyo moto wa kuchomea hela za wengi
Uwe unauliza mkuu, utaacha wakabwe kumbe makabwera tuHahahahaaa
Kumbe ni chini ya hapo?, sina mdau mwalimu kwenye cycle yangu, No tuna headmaster tu mmoka hv nae mlevi balaa sijui hata monthly analipwa sh ngp
HahahahaaNimependa haka ka mustari π
"masikin ya Mungu weekend ilikua kesho yake nakuta yupo chimbo langu anakunywa hovyo na videm viwili, wanapiga piga picha tu, mimi nikapotezea sabab huwa sina mambo ya kuwapangia watu matumizi."
Ukipiga vyote utapoteza pesa nyingi sanaBora uwe unapiga kimoja lakini ikiwa vyote, ndiyo balaa zaidi
Maisha ni haya haya nikipata milioni Laki Tano nafanya mambo ya msingi Laki Tano totozi k vant mpepe nkSawa mkuu.
Kula raha, makasiriko ya nini.
Watanganyika wakarimu sana, wanapenda kuchangia changia watu, so usijali. Ponda raha
Ma nataka za humu. Bado nasubiri inbox.Saa 12 jioni nahamia VVIP Lounge kama nikikosa dem wa JF, pale kuna pisi smooth sana zinavutaga shisha, hadi za kiarabu sometimes zipo
Hakuna mwalimu mzuri kama mudaMaisha ni haya haya nikipata milioni Laki Tano nafanya mambo ya msingi Laki Tano totozi k vant mpepe nk
Yaani hapa nilipo huo wimbo wa marioo niseme nisiseme unabang..hahhahha vijana kazi mnayoNidhamu ya pesa ni mtihani mzito shekh!
Imagine umehangaika zako mara umepiga βmshindoβ wako alafu ukiangalia ndio weekend imeingia kila mahali ukipita unamsikia mariooo
βShiiiiiiii badiiiiiβ
βnilikuwa na wanangu kina chinoooβ
βniseme nsisemee, semaaaaβ X 2
Ukizidi kusogea unamsikia jux nae ,
βhuyuuu demu ake naniiii, anpandisha midadiii, anitafutia lawama,β¦β¦β¦.β
Ukisema uzame ndaniii tu kwisha habari yako, unakuta watoto wamepanda juu ya meza wanacheza na wamependeza balaaa!
Unaendaje kulala mkuu, au tukuulize,
we kuwezaaa???
Nyie achenii banaa starehe ni tamuuu ππ
Tukiamka asubuhi ndio majuto huanza.
[emoji3][emoji3]Mfano kuanzia ijumaa ya leo unatoboaje J3 hivi-hiv...?
Asijekuwa ni fundi wangu wa kuweka urembo wa nyumba πHuwezi amini hata huyu dogo nnaemuongelea hapa ni fundi wa kitu fln hivi,
Kweli Mkuu, bora ukiwa mpenzi wa Totozi unaweza kupiga kwa mkopo wakati mwingine π π πUkipiga vyote utapoteza pesa nyingi sana
Mla BataMaisha ni haya haya nikipata milioni Laki Tano nafanya mambo ya msingi Laki Tano totozi k vant mpepe nk
Waalimu mnawakosea sana π π πanasema eti hana hela, nikamwambie "wewe wiki 2 zilizopita si umepata hela ambayo mwalimu anatumia mwezi mzima kuipata"
Ile asubuhi unaamka unaanza kwanza kuitafuta wallet, unapapasa suruali unaikuta iko mfuko wa nyuma.Achaaa tu mkuu, kuna majuto huwa tunapitia [emoji23]
Mla Bata
Dogo anadhan tumeanza juzi kuchezea hela, mimi mwaka 2014 nilishawahi kutumia million 4 kwa starehe ya siku moja, hapo nimepanga uswahilini ndani sina kitu cha maana, uki-adjust for inflation hio ni kama 6m kwa sasa. Unaweza kusema nilinunua IST af nikaiwasha moto. Lkn toka hapo nikaapa sitokuja kuwa mpuuzi kiasi hicho
Sasa wewe endelea unadhan ni sifa kutumia pesa hivyo, utakutana na shida moja siku moja ikunyooshe na huna hata mia, akili zitarudi, lkn zitaondoka tena sababu umejiendekeza.
#WeEndeleaTu (Mwana FA)