Wadogo zetu wa sasa wana ujasiri sana, sio waoga kabisa

Wadogo zetu wa sasa wana ujasiri sana, sio waoga kabisa

Kwangu mimi mtu kuondoka saa kumi na mbili ofisini siku ya Jumamosi akiwa amemaliza kazi aende kutazama mpira wa timu yake pendwa sio tatizo.

It's likely mlikuwa mnapiga chitchatting, hayakuwa mazungumzo ya kikazi kwamba mnatafuta solution ya tatizo hapohapo. Kazi zimeisha ni Jumamosi saa 12 akaondoka kutazama mpira. Sioni kosa lake.
 
Katuka mambo nayo najitahidi kuwajengea vijana wangu ndugu hata na watoto wangu wadogo basi ni uwezo wa kubehave kama watu wazima huku wana umri mdogo.

Yani leo kijana wa miaka 18 inatakiwa awe ni mtu anayejua vi,uri kuishi na watu,na kubehave vizuri.

Yaani inatakikana kijana wa miaka 18 awe na uwezo wa kuvaa suti na kukaa bungeni na kujenga hoja mbalimbali za nchi.

Lakini wazazi hasa wababa hawana muda wa kukaa na watoto wao kuwajengea uwezo wa kufanya mawqsiliano(communicstion skills) na uwezo wa kujenga hoja na uwezo wa kuzungumza vizuri na watu.

Wazazi wako bize kutafuta kula watoto wale huku kichwani watoto ni mabogus.
Yah hii inasikitisha sana mkuu. Wengi tuko hiv wazaz wa sasa
 
Kwangu mimi mtu kuondoka saa kumi na mbili ofisini siku ya Jumamosi akiwa amemaliza kazi aende kutazama mpira wa timu yake pendwa sio tatizo.

It's likely mlikuwa mnapiga chitchatting, hayakuwa mazungumzo ya kikazi kwamba mnatafuta solution ya tatizo hapohapo. Kazi zimeisha ni Jumamosi saa 12 akaondoka kutazama mpira. Sioni kosa lake.
Kwahiyo mkuu hapo kwenye maelezo yangu ni kwamba hujaelewa kabisa?.
Tulikua tunafanya tathmini ya majukum yake baada ya kipindi chote cha field.Tathmin ambayo ndio msingi wa field evaluation report ambayo inapswa kugongwa muhuri wa ofis kisha iwe submitted chuoni!. Kwakifupi chuo kimetuamin kumfunza kijana wao kaz kwa vitendo na tunapaswa ku report back...je huon kama yalikua mazungumzo ya msingi??
 
Mie mwenyewe ni kijana ila madogo ni miyeyusho sana.

Kuna kijana wa diploma kutoka chuo fulani alikuja kufanya field ofisi moja niliyokuwepo kwa wakati ule, katika kumpangia majukumu tulimpeleka mji wa jirani, tofauti na mji wao ( ambapo ofisi ilipo).

Alipokuwa huko tulikua tunamlipia lodge, chakula cha siku na pocket yake 15k. Kazi ilikua ya three weeks lakini baada ya siku 4, tukapata taarifa kaondoka tena kasema tu " mie nimechoka kukaa huku sipaelewi "

Aliporudi ofisini hakua na valid excuse, isipokuwa sababu za kitoto tu mara chakula kibaya, mara pocket yake ndogo e.t.c

Logbook yake hatukusaini ofisini, alisainia mitaani huko, bad enough ht supervisor wake hakufika ofisini aliishia kupiga simu tu kwa excuse ya ratiba.
 
Mie mwenyewe ni kijana ila madogo ni miyeyusho sana.

Kuna kijana wa diploma kutoka chuo fulani alikuja kufanya field ofisi moja niliyokuwepo kwa wakati ule, katika kumpangia majukumu tulimpeleka mji wa jirani, tofauti na mji wao ( ambapo ofisi ilipo).

Alipokuwa huko tulikua tunamlipia lodge, chakula cha siku na pocket yake 15k. Kazi ilikua ya three weeks lakini baada ya siku 4, tukapata taarifa kaondoka tena kasema tu " mie nimechoka kukaa huku sipaelewi "

Aliporudi ofisini hakua na valid excuse, isipokuwa sababu za kitoto tu mara chakula kibaya, mara pocket yake ndogo e.t.c

Logbook yake hatukusaini ofisini, alisainia mitaani huko, bad enough ht supervisor wake hakufika ofisini aliishia kupiga simu tu kwa excuse ya ratiba.
Han mpaka kuna time unajiulizaaaa hawa watoto wanataka kitu gani lakini?
 
LAkin ndio ukwel mwenyewe huo mkuu
Sio kweli now days mamb yamebadilka kwanza hatutaki kufanya kazi mpaka kustaafu... kwetu ni ushamba kazi ni kwa ajir ya kupata capital tu..,.

Sasa wazeee a.k.a mabroo wa kale wamekalili inshu ya kustaafuuu yaani anakomaaa mpaka anafanan na ukutaaa Wa ofisini...

Muda wa kaz upunguzweee sio unafanya kazi kama upo darasani hapo tofuti na mwanafunz na mfanyakaz ni UPI

Pili wazee ni wakudaa sana maofisini wanatuonagaa vijana kama ni machiizi kubetiiii yaani we achaaa tuuuu alafu mixer wachawiii anakuchekeaa huku anakutupia kajini uvivuuuuuuuuuu......
 
Wazazi wanawafundisha watoto kuhusu Maisha ila watoto wanawapa funzo wazazi kuhusu maana halisi ya maisha.


Tumezaliwa tumekuta kwamba utaratibu wa maisha ya binaadam ni kukua kwa kusonga mbele, kimwili, kiakili, ki mali, kiroho na kiugunduzi.
Asili inaamua hivi. Kwenda mbele na sio kurudi nyuma.


Siuoni uwezekano wa misingi yetu ya maisha ya sasa kuwa Sawa na ya miaka 5 tu ijayo, ukuaji mkubwa wa tech na ufahamu wa binaadam ukizingatiwa.



Tutumie nafasi zetu za kutangulia kuwepo duniani kabla ya watoto wetu kutengeneza/kubuni/kuvumbua misingi inayoendana na mabadiliko yatokanayo na wao na wakati/msimu wao.


Waswahili wanasema kila mtoto anakuja na ‘sahani’ yake, kutumia huu msemo hapa ni kwamba kila kizazi kinakuja na utaratibu wake wa maisha kulingana na ufahamu wao wa wakati/msimu wao.
 
VIJANA wengi ndio wapo hivyo.
Hao ambao hawapo hivyo ni mmoja mmoja.

Bora Wanawake kidogo wananidhamu kazini. Kiufupi kuna hatari ya vijana kuzidiwa na mabinti hasa katika kufanya kazi


Kama ambavyo wewe huwezi kuwa Sawa na kijana wa Mwaka 1970 ndivyo ambavyo kijana wa 1950 hawezi kuwa Sawa na kijana wa 1850.

Sasa itawezekana vipi kijana wa Mwaka 2023 awe Sawa na kijana wa Mwaka 1999?


Haya mabadiliko ya tech na elimu hayaishii tu kubadili Mfumo wa kibiashara na maendeleo ya mtu bali yanaenda mbali zaidi na kubadili mfumo mzima wa Maisha. Mila, Desturi na Tamaduni pia vinaguswa.



Mabadiliko yaliyopo sasa na ufahamu wa binaadam wengi unawapa uhuru watu wengi kutumia uhalisia wao kwa asilimia 100 bila uwoga.

Mwanamke kuwa loyal kwa mwanaume popote pale, hiyo ni asili.

Mwanamke kuwa na ufanisi wa hali ya juu kwenye jukumu lolote lile analokabidhiwa na kuwezeshwa na kupewa uhuru hiyo ndio asili yake.

Kwa sasa uhuru wa binaadam katika kuitawala mipaka yake ya kibinaadam uko juu sana kwa hiyo ni rahisi kwa Asili kuchukua nafasi yake katika mambo mengi.
 
VIJANA wengi ndio wapo hivyo.
Hao ambao hawapo hivyo ni mmoja mmoja.

Bora Wanawake kidogo wananidhamu kazini. Kiufupi kuna hatari ya vijana kuzidiwa na mabinti hasa katika kufanya kazi

Bank nyingi kuna wakina mama siku hizi naona sababu ni hizi hizi roho ngumu na uthubutu ktk mali za watu tulizonzo wanaume.
 
Maboss au wafanyakazi wengine ukienda field wanazingua Sana, kujifanya mungu watu ndomana wanajibiwaga vibaya, wanaunyanyasaji wakati mihuri inachongwa tu nje, ndomana unakuta saingine vichwa maji wanawajibu kinguruwe tu. Au wengine wakishakuja wakaguzi wanaaga kumaliza field kumbe mazingira ya ovyo.
 
VIJANA wengi ndio wapo hivyo.
Hao ambao hawapo hivyo ni mmoja mmoja.

Bora Wanawake kidogo wananidhamu kazini. Kiufupi kuna hatari ya vijana kuzidiwa na mabinti hasa katika kufanya kazi
Wewe ndio umeharibu kabisa. Binti wa mjini afanye kazi kumzidi kijana wa mjini?

Kuna ofisi moja ya IT pale Posta ilifukuza mabinti na kubakiza mmoja walioajiriwa mwaka jana fresh from college kwa kigezo cha kuwa na balance ya gender, ofisi ilijikuta kwenye kuajiri inao wanaume wengi ikaja haribu kwenye mambo ya NGOs na renders. Wale mabinti walikuwa kazi kujisnap ofisini, kupiga video call kutambia wenzao walivyopata kazi mapema, kujitongozesha kwa maboss na kujilegeza wakidhani ndio kuweka msingi mzuri wa kutofukuzwa kazi.

Nenda hospitali uliza wagonjwa wanawake kati ya kuhudumiwa na mwanamke mwenzao au mwanaume wangependa aje nani, achana na watu ambao hawaumwi wako uraiani. Kuna hospitali kijijini wanawake walikuwa hadi wanapenda wazalishwe na wanaume kuliko jinsia yao. "Tanua mipaja hiyo hata sie wengine tumezaa"

Nenda kwa waiters, waitresses. Nenda kwa maboss. Tafuta boss wa customer service akwambie ni gender gani inalalamikiwa na wateja.
 
Back
Top Bottom