saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,880
- 2,843
Unavumilia tu si kwa muda lakini tabia nyingine sio kisa nitakujazia vibaya.Lakin kwa mwanafunzi kwann usiwe loyal as long uko pale kujifunza.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unavumilia tu si kwa muda lakini tabia nyingine sio kisa nitakujazia vibaya.Lakin kwa mwanafunzi kwann usiwe loyal as long uko pale kujifunza.?
Mkuu naomba kuuliza. Muda wa kazi ni saa ngapi ofisini? Kwa nunavyojua saa 11 jioni kwa utaratibu wa Tanzania iyo ni overtime. Usije ukamrushia kijana lawama kumbe ni wewe haukuzingatia muda wa kazi.Niende moja kwa moja kwenda jambo la msingi.
Ninayezungumza hapa pia ni kijana sio kwamba ni mtu mzima sanaa kivile, hapana. Naanza kwa kusema hili; ili kuondoa ile dhana ambayo kwa sasa inalalamikiwa na vijana wengi mitandaoni kwamba "Wazee" na "Watu wazima waliofanikiwa" wanawaonea vijana kwa kuwasema sema na kuwanyanyasa kama hivi post ambazo kwasasa zimetapakaa mitandaoni [emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2790127
Na hata hapa jukwaani kuna kijana mmoja juzi kati kaleta hoja kwamba "Mabroo" wamekuwa wakiwasakama tu ila hawatoi michongo yoyote pindi wanapoombwa kufanya hivyo, uzi huu ulioletwa na member Natafuta Ajira [emoji116][emoji116][emoji116]
Mabroo acheni kuwasakama wadogo zenu ambao hawajatoboa
Kumekua na kasumba ya mabroo ambao washatoboa kutushambulia wadogo zao ambao bado tunajitafuta bila kuangalia kwa upana utofauti wa mazingira ambayo wao walikutana nayo na sisi tumekutana nayo Mabroo ukweli ni kwamba wengi wenu mmeingia mtaani zama za kitonga (awamu za Mkapa na Kikwete), hamjua...www.jamiiforums.com
Lakini kiukweli, vijana kwasasa wana tatizo la kujiamini kupitiliza kiasi kwamba tafsiri rahisi na ya haraka unayoweza kupata ni kwamba "Don't care". Sijui sababu ni nini hasa maana kunaweza kuwepo na zaid ya moja, mfano;
1. Kujikinai/kujikatia tamaa
Sababu ya kuleta hoja hii ni tukio nililokutana nalo ofisini kwangu juzi siku ya mechi ya Simba na Waarabu. Iko hivi;
Kwa mwezi mzima toka September kuna kijana wa chuo alikuja kuomba kufanya field, na baada ya kum-study nikagundua kuwa ni mtu ambaye alichelewa kuanza field na mpaka wakati huo hakuwa amepata.
Sababu ni nyingi lakini moja wapo ni ishu ya kipato mambo ya nauli alikuwa amelenga kupata hapa centre ambako atapanda gari 1 tu kwenda na kurud nyumbani kuepuka ghara nyingi za usafiri na hana mkopo shuleni, hivyo hana fungu la field toka bodi.
Nilimu-asses kwa namna nilivyotaka ili kujiridhisha kisha nikaona sio mbaya akatu-join afterall uhitaji wa mtu kama wake kwetu ungetupa manufaa katika namna fulani.
Basi bwana tukafanya kazi weee mpaka juzi kati ambapo akawa amemaliza field yake na vyuo vinafungua so anaenda kumaliza masomo yake.
So hii siku ya mwisho nikawa na mazungumzo nae kwa ajil ya tathimini mbali mbali kulingana na majukumu aliyokuwa nayo ofisini ili kupata feedback, lakini pia kuangalia namna gani ya kuingiza tathimini hizo katika Logbook yake ili ikasahihishwe na supervisor wake.
Sasa hii siku ndio ilikuwa inachezwa mechi ya Simba na Mwarabu, na mida kama hii ya 11 kwenda 12 ndio tulikuwa kwenye discussion. Sasa katikati ya mazungumzo, kwanza dogo full time kuchat chat.
Hii kitu nilishawahi kumuona nayo hata katika vikao vya kawaida vya ofisi na nikampa warning na kumfunza ni namna gani anapaswa kuwa ana-behave anapokuwa katika mazingira ya kikazi haswa kwenye vikao akiwa na sie seniours wake.
Sasa siku hii aliniacha hoi huyu bwana mdogo, ghafla katikati ya maongezi akainuka na kusema "Bosi, nafikiri hayo mengine nitatafuta muda mwingine tumalizie, mimi nataka niwahi kumuona Rais wa FIFA hapo Taifa maana muda umeenda sana na mechi itaanza sitaki kuikosa, unaonaje Boss?" [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Honestly, nilipigwa na butwaa sana kwa hizi guts alizonazo huyu dogo, nikamtazamaa kisha nikasema sawa haina shida, unaweza kwenda.
Alipotoka ofisini nilijikuta nacheka sana lakini hakikuwa kicheko cha furaha bali ni mshangao na huruma pia. Nikajiuliza hivi ni mimi tu ndio nilikuwa fala linapokuja suala la kazi au? Hivi huu ni ujasiri au recklesness?
I was about to let him know kwamba we would love him to join us us next year akimaliza chuo maana mapungufu yale madogo madogo ningejua namna ya kum-shape maana bado ana mindset ya kitoto kama mwanafunzi, ila kwa hiki kilichotokea nikashindwa hata kufika huko kote.
Sasa hapa vijana unawaza, unasema hivi wanataka nini tena?
Anyway ni hayo tu, na by the way sio vijana wote wako hiv!
Huku kwenye details wala hata usihangaike nako..Mkuu naomba kuuliza. Muda wa kazi ni saa ngapi ofisini? Kwa nunavyojua saa 11 jioni kwa utaratibu wa Tanzania iyo ni overtime. Usije ukamrushia kijana lawama kumbe ni wewe haukuzingatia muda wa kazi.
Yah sure..Unavumilia tu si kwa muda lakini tabia nyingine sio kisa nitakujazia vibaya.
Actually nitazungumza nae tu kwa huo muda wake nitampa semina elekezi. Ni wadogo zetu tu hawa hamna namnahuyo dogo lazima wa DIT tena mechanics.
mkuu hicho kitendo alichofanya huyo dogo ni cha ajab sana
ila nafikiri ni utoto..msaidie
Ndio wadogo zetu hawa kaka..Tuna kaz kubwa kwa hawa vijana wetu wa sasaSiku nyingine uwe unasoma uzi mwanzo mwisho angalia ulivyoenda OPP ungekuwa karibu ningekuzaba kofi la kichwa
Kweli kabisa Mtibeli. Hii point yako tulikuwa tunajadili juzi na binamu yangu.VIJANA wengi ndio wapo hivyo.
Hao ambao hawapo hivyo ni mmoja mmoja.
Bora Wanawake kidogo wananidhamu kazini. Kiufupi kuna hatari ya vijana kuzidiwa na mabinti hasa katika kufanya kazi
Ni kwel mkuu. Na mbaya zaid hawaelewi ukiwaeleza haya masuala. Wanaona kwakua wewe hukupata ajira soon baada ya kumaliza bas hilo ni juu yako wao wana pia wana bahat zao..simple...!!Ni kawaida ya vijana wengi hasa hawa ambao wako chuoni kwanza hawa wazi wakishamaliza chuo nini kinafuata, wao wanajua wakimaliza chuo watapata kazi tu laiti wangejua kuna watu wamemaliza chuo miaka na miaka hatujapata kazi hata izo intern kuzipata ni changamoto wasingeleta upuuzi kwenye field zao, wengi wao kwanza field anaona kama kujichosha
Mambo ni mengi mnoo hawa madogo. Mengi sana.Ujue mpaka unajiuliza "hiv ni shida zangu au zake?".Hata huku kwenye ishu za biashara na ujasiriamali kuna madogo wengi sana wazinguzi. Kuna dogo mmoja alifungua duka dogo la nguo sasa kwenye mwezi wa 8 wakati biashara ya jezi ndo imezidi kupamba moto nikaona ngoja dogo nimpige jeki angalau na yeye auze jezi apige hela. Nikamshauri na kumwambia akimbizane na msimu halafu kama hela hana apite dukani kwangu achukue hata 100pcs na kuziuza aniletee tu changu akishauza. Kesho yake namuuliza dada wa dukani kama dogo alifika akajibu hapana. Baada ya siku kadhaa nikakutana na dogo barabarani akaniambia "Bro usijali nikipata muda nitapitia hizo jezi"... mimi kama kawaida nikamwambia aache upuuzi nilitaka kumsaidia ila nimefuta huo msaada. Tunavyoongea duka lake kashafunga hali ngumu.
Hakuna mahali popote elimu ilipobadilika mkuu.Elimu ni ile ile toka ilipoachwa na mkoloni, fahamu unachokiongea usije ukaonekana sio!.Ni hivi na hawa vijana wa leo wale waliopambana kwa misimamo yao,na wakafika nafasi za juu kikazi, wanahakikisha wanaleta vijana wa mitazamo yao kufanya nao kazi,
Mara ngapi unaenda usaili wa kazi unakutana na vijana wadogo tu wanakusaili na mi mvi yako na pia kukupiga chini...
Elimu ya sasa imebadilika sana na kuwafundisa vijana kujiamini na kujielewa kuliko elimu ya zamani ya nidhamu ya uoga...
Nenda na wakati, hawa ndio wana uwezo wa kuleta mawazo na mbinu mpya za mafanikio ya kampuni...
Ukijikuta unafanya kazi sehemu ambapo kuna mtindo au mfumo wa kusema,
"We always do it this way"
Hapo ujue unaenda kudumazwa akili na kufanywa "bot" wa kuitika "Ndio Bosi"
Wapo resi mno haijawahi kushuhudiwa80s wanaeleweka sana,90s kama wanakuja wanakataa then kuna hii polimilay ya 20s ase hawavijana vichwa vyao ni kama vinachochewa moto wa mafuta ya taa
Muda ni Mali, ulinikosesha interview ya maana nikapewa jibu moja tu "Muda ni Mali"maana muda umeenda sana
Muda ni Mali km unaweza fidia muda wake mwambieAtatafuta muda muongee
[emoji23][emoji23][emoji23] sikumuelewa huyu jamaaAhahaha hapa mkuu umenichekesha sana..Kwamba wanaume na vijana wana uthubutu wa hali ya juu kwenye mali za watu [emoji23]
Nilikuwa nimem-quote mtu, itakuwa errors za system ya JF.Mbona hujam quote mtu mkuu, relax kuwa na amani. Naeleea hilo ndio maana juu nikaanza na angalizo kuwa sio vijana wote. But pia umeona shuhuda za watu huko juu kwamba wamekutana sana na kesi zinazofanana na hizo kwahiyo kwa upande mwingine niko sahihi nikitumia uwingi "vijana" maana ni wengi mnoo wenye changamoto hizi
Ni kwel mkuu. Na mbaya zaid hawaelewi ukiwaeleza haya masuala. Wanaona kwakua wewe hukupata ajira soon baada ya kumaliza bas hilo ni juu yako wao wana pia wana bahat zao..simple...!!
Ndio wadogo zetu hawa kaka..Tuna kaz kubwa kwa hawa vijana wetu wa sasa