Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wawoo hawaendi sokoni wanaenda supermarket...Nashangaa hii taarifa juu ya huyu mdudu inasambaa kwa kasi na mamlaka husika ziko kimya tu..hazitoi taarifa husika..nafikiri wizara ya afya wangetoa tamko.....
Kutoa tamko bila utafiti ndo mnaita kukurupuka.. Au siyo ndugu?Nashangaa hii taarifa juu ya huyu mdudu inasambaa kwa kasi na mamlaka husika ziko kimya tu..hazitoi taarifa husika..nafikiri wizara ya afya wangetoa tamko.....
Huyu ni mdudu au mnyama? ni mdudu kwa misingi ipi?