Tetesi: Wadudu wa "kidudu Mtu" wazua hofu, Wanakula mboga na Matunda

Tetesi: Wadudu wa "kidudu Mtu" wazua hofu, Wanakula mboga na Matunda

c5519c74c858c1ab0239272408b1a47e.jpg
 
Wajulishe ndugu na jamaa na wasaidizi wetu nyumbani wanapotayarisha mboga na matunda
Kuna huyu mdudu hatari anaenea kwa kasi..hakikisha mboga zinaoshwa vizuri na kwa kurudia
IMG-20170618-WA0062.jpg
IMG-20170618-WA0057.jpg
IMG-20170618-WA0057.jpg
 
Wife alinieleza hii kitu nikajua utani, kachoka sukuma wiki kumbe ni kitu real!!!
 
Mkuu mbona hatari sana..naamini wataalamu wetu wa kilimo wameliona hili na watalifanyia kazi na kulitolea ufafanuzi..
 
Je mdudu huyu ana sumu? Au ukipika mbogamboga ikaiva vizuri hakuna madhara?
 
Mbona sijaona kauli rasmi ya serikali zaidi ya haya mapichapicha yenu yaliyotapakaa kila kona?

Hii habari mmeitolea wapi?
 
Duh! Kumbe kidudu Mtu ndo huyo....Dah halafu kumbe ni kidume?
 
Back
Top Bottom