Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona kaka we we ndiye unaependaa kukaa na house girl umwambiee asijeakatulisha waduduuAiseee mbona hiyo hatari mkuu..duuuuh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]Wife alinieleza hii kitu nikajua utani, kachoka sukuma wiki kumbe ni kitu real!!!
Dada pale home lini uliniona nakaa nae??Umeona kaka we we ndiye unaependaa kukaa na house girl umwambiee asijeakatulisha waduduu
Kule chumbani wakati nilikuja kuchukua pasiDada pale home lini uliniona nakaa nae??
Ana madharaHivi ukipika mboga mboga huwa kama damu???????????
Je mdudu huyu ana sumu? Au ukipika mbogamboga ikaiva vizuri hakuna madhara?
Subiri taarifa zaidi kama ni uzushi itajulikanaHADI SASA AMEENEA WAPI NA WAPI? NA NINI MADHARA MAKUU? NAONA HUMU TAHADHARI TU ZINATOLEWA BILA KUJUA ATHARI ZAKE?