Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ni vizuri kuchukua tahadhari kama ni uzushi itajulikana tuu... Nimeiweka hapa kwa nia njema kabisaMbona sijaona kauli rasmi ya serikali zaidi ya haya mapichapicha yenu yaliyotapakaa kila kona?
Hii habari mmeitolea wapi?